Recent content by Jeremia Mhanuzi

  1. Jeremia Mhanuzi

    JamiiForums Tanzania Tungo nzuri za fasihi ya Kiswahili

    MAHABA YASIYOKOMA. Sehemu ya pili katika mfululizo mrefu wa tungo tamu za fasihi ya kiswahili ziendazo kwa jina la Mahaba Yasiyokoma. Leo ninakuletea mkasa mdogo uliowahi kunikuta, ukawa chanzo kikuu cha wazo la uumbaji wa tungo nyingine iliyobeba hisia zangu. Nikashawishika kuandika kuweka...
  2. Jeremia Mhanuzi

    JamiiForums Tanzania Tungo nzuri za fasihi ya Kiswahili

    MAHABA YASIYOKOMA. Mimi binafsi huwa ni mpenzi wa tungo mbalimbali za sanaa ya kiswahili. Tangu utotoni, nimekuwa nikipendelea sana kusoma vitabu na machapisho mbalimbali yaliyoletwa nyumbani ama na mzee wangu au kaka na dada zangu walionitangulia kufika shule. Mpaka sasa nawezasema, nimesoma...
Back
Top Bottom