Recent content by Jembe la Taifa

  1. J

    Wazanzibar hawana shukrani

    Achaneni na Lukuvi. Ukweli umewauma sana sio? Ha ha ha!!! Mlifikiri kutukana ukristo hadharani kila siku hakuna wakristo watakao rise kuwasuta na maovu yenu???:israel: Tafuteni agenda nyingine UKAWA wote tunawaelewa lakini kuliingiza hili la Lukuvi sio mahali pake wazee. Kila mtu ana takiwa...
  2. J

    Huu ni uchochezi wa kidini!

    Kaka tatizo waislamu hamjazoea kuambiwa ukweli. Maelezo ya Lukuvi wote tumeyasikia bungeni na hayana tatizo lolote. Kwani nani haoni au hajui ubaguzi wa wazi unaofanywa na waislamu hapa Tanzania. Zipo nyumba za waislamu hawapangishi wakristo, baadhi ya mashirika ya uma kama NSSF sasa hivi kupata...
  3. J

    Maalim Seif: Sikummaliza Jumbe

    Mimi nadhani maelezo ya maalim yanajitosheleza. Sikuwahi kusikia habari hizi kbla. Ila nichukue nafasi hii kumuuliza jambo moja...hivi siku ya uhuru wa Zanzibar mbona hatuifahamu? Huadhimishwa lini? Au kupindua nchi ndio wakaondoa siku ya uhuru wakaweka ya kuadhimisha kupindua dola ya mwanzo?
Back
Top Bottom