Leo ni kumbukumbu ya kifo cha Rais Karume aliyekuwa rais wa kwanza wa Zanzibar, Ni watanzania wote tunamkumbuka leo yaan bara na visiwan, Watanzania leo tumepunzika tukiadhimisha sikukuu hii iliyotokana na muungano, hakuna wanafunzi walioko darasani leo, hakuna wafanyakazi walioofisini leo,Ni...