Recent content by Jeff z wina

  1. J

    Ndege zilizotengenezwa Tanzania, zinauzwa milioni 500, Kwa bei hii wewe tu 'Upae au daladala'

    Mnaogopa ajali kwan za wazungu mnazoziamn hazipati ajali mbn wabongo hatufikilii kwanz hii ni hatua kubwa inabidi kujipongeza sema waty ambao hamtaki maendeleo ndo hvyo
  2. J

    Ndege zilizotengenezwa Tanzania, zinauzwa milioni 500, Kwa bei hii wewe tu 'Upae au daladala'

    Na hii ndo shida iliyokwenye vichwa vyetu tunabrand vya wenzetu ty ila vyetu ni mwendo wa kuviponda sasa mnataka tuanzie wap kama tunashindwa kupenda vidogo kama hivi...duh ama kwel kazi ipo
  3. J

    Dah, Wanawake wanateseka sana duniani

    Wanawake inabidi na nyie muwe na vifua vipana sio kila siku kulialia ty mnafikil wanaume hawana yanayowasibu...wanaume c ndo vichwa tunapitia mengi lakn tunakausha..koo kikubwa ni kujipambania bas 👊
Back
Top Bottom