Mnaogopa ajali kwan za wazungu mnazoziamn hazipati ajali mbn wabongo hatufikilii kwanz hii ni hatua kubwa inabidi kujipongeza sema waty ambao hamtaki maendeleo ndo hvyo
Na hii ndo shida iliyokwenye vichwa vyetu tunabrand vya wenzetu ty ila vyetu ni mwendo wa kuviponda sasa mnataka tuanzie wap kama tunashindwa kupenda vidogo kama hivi...duh ama kwel kazi ipo
Wanawake inabidi na nyie muwe na vifua vipana sio kila siku kulialia ty mnafikil wanaume hawana yanayowasibu...wanaume c ndo vichwa tunapitia mengi lakn tunakausha..koo kikubwa ni kujipambania bas 👊
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.