Okay ilikuwa hivi… kuna kijana alikuwa anakaa singida na Kaka yake .. kwa muda huo alikuwa amemaliza darasa la saba .. sasa alikuwa anakaa tu nyumbani na Kaka yake Ila alibahatika na kipaji cha kutengeneza vitu… basi kuna siku pikipiki ya Kaka yake ilikuwa mbovu na alikuwa na safari kidogo basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.