Wana jamvi za sikukuu ya sabasaba.Nina jambo moja ambalo kwa kulileta hapa naamini nitapata mwangaza kidogo.Nimekua nikinunua bidhaa toka maduka ya kawaida kitaa bila hata ya kudai risti na hata wenyewe hawana vilevile zaidi ukiwabana watakupa za kuandika kwa mkono.Ila kuna muda huwa napita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.