Upo Sahihi Kabsa
Ni kwel yaan me Sio Mbinafsi napenda kushirikian zaid kwa MOYO saafi naamim kushirikian na mtu Ndio Daraja la Kujitengenezea watu Muhimu kweny maisha bila kumkwaza yeyote alie kuzunguk kweny utaftaj wa MAISHA Binafsi najion kijana nina Safar ndefu ya Kuyafikia mafanikio...
Ahsante Kunielewa But Kuna walio Jitokeza Nimewasiliana nao Japo Hawajafika milion 3 hvo Sina Tamaa na Pesa Ya Mtu ila Nina nia ya kufany kazi na mtu ndo man nimekataa hyo chin ya milion 3
inshort Biashara ya Uwakika Hii Ndio imenifikisha Hapo
Kutengeneza na Kumiliki Ofisi Yangu Hyo kwaatakae Wiwa Kupushi Nilipo ishia kwa kiasi cha milion 3 tukapiga kazi Na yeye atategeneza Faida Kubwa Kwa kile alichoingiza kwa hii Biashara
Apo Soko la uwakika
Tutauza
...Sembe,Dona
.....Pumba...
Ahsante Sana Kwa Wako Ushauri 🙏🙏Ndio Mana Nikaogopa Kukopa Hasa kweny Taasisi Binafsi za Mikopo kama ASA Maana walikua tayar Kunipa Mkopo Muda wowote
Muhimu nipate Mtu Mwenye Nia Ya Dhati Kwa Biashara Naamin Tutafany kazi Mana Tayar nina Uzoefu wa Biashara Hii Na wateja Ninao sio wa kuwatafta sana
Hapana Kulingana na nimetaja kiwango cha milion 3 tunawekeana Mkataba kwa kazi kwa miaka mi tatu Tayar Mwekezaj na yeye ametengeneza Faida zaid ya Hyo Milion Tatu Pia akipendezwa bdo anaweza kuongeza mkataba tukaendelea na kazi kwa kutengeneza faida zaid
Anhaa Sawa Kumbe n 12%
Yes kweny...
Hapana Kulingana na nimetaja kiwango cha milion 3 tunawekeana Mkataba kwa kazi kwa miaka mi tatu Tayar Mwekezaj na yeye ametengeneza Faida zaid ya Hyo Milion Tatu Pia akipendezwa bdo anaweza kuongeza mkataba tukaendelea na kazi kwa kutengeneza faida zaid kwa pande zote
SHUKRANI kwa Wazo lako Pia ntalifanyia kazi Japo ASA wana riba kubwa sana Wanakopesha kwa Miezi6 ukiitaji Milion 3 (Gharama Za Mkopo za awali 337,500)wanakupa Cash 2,655,300 rejesh kila week 133,500 ndan ya Miezi 6 (Week25)
133500×25(Weeks)=3337500
Me sio mtaalamu lakn naona Riba zao mbona za...
Ndio ila Napenda Niweke Wazi Mfan nimeekeza M12 lengo langu si mwekezaj aje na m12
Nimetaja kima cha chini Tsh 3M ili kufikia kukamilisha hatua ilio Bakia yaan Umeme na kuanza Uzalishaj Moja kwa Moja Mwekezaji awekeze na Tuanze Mchakato wa kufikia malengo kutengeneza Faida Kwa mkataba Maalumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.