Recent content by JayM

  1. J

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Kwani msimamo wake ni upi? mbona unataka kumpa kitu asicho kisimamia. Ukitaka kujua msimamo wa Kakobe fatilia mafundisho yake na sio kuona akikemea jambo flani then unamdhania hivyo. Msimamo wa Kakobe ni kuhubiri injili isiyogoshiwa. Na kukaa kwenye kweli ya neno la Mungu kwa gharama ya kifo...
  2. J

    Uhamiaji waenda kuchunguza uraia wa Askofu Mkuu Kakobe kijijini kwake, wazee mashuhuri kijijini wathibitisha uraia wake

    Kanyooshwa kivipi, si TRA walienda waka kosa kitu, Uhamiaji nao wameenda hola, sasa kumpongeza Raisi on specific things ndio kunyooshwa. Kumbuka yeye ni mhubiri wa injili ya Yesu Kristo. na Yesu alisema alikuja kwaajili ya wenye dhambi sio wenye haki. Kama unamuona Raisi ni muovu basi ndio...
  3. J

    Uhamiaji waenda kuchunguza uraia wa Askofu Mkuu Kakobe kijijini kwake, wazee mashuhuri kijijini wathibitisha uraia wake

    Nampogeza sana mtoa post hii taarifa imeshiba haswa na imezingatia uwazi wakutosha.. Sasa jamaa walioramba posho(perdiem) sijui wameishia wapi?? By the way walishampa passport yake Kakobe au bado wanaikumbatia wakidhani watapata upako kwa hila..... hahahaahahahahaa........
  4. J

    TRA: Askofu Kakobe hana fedha wala akaunti binafsi ila Kanisa lina akaunti yenye Sh. Bilioni 8.1; amemwomba Rais radhi

    Nashangaa watu wanavyozidi kujadili kuhusu Askofu Kakobe.... mdajala umeshafungwa..... TRA imeonekana imesema uongo kwa nia ya kuchafua Kanisa la FGBF na Askofu wao .... Sasa tuachane na midajadala isiyokuwa na tija.... tuangalie mambo yalionatija kwa sasa..... Inamana hatuoni vuguvugu la...
  5. J

    TRA: Askofu Kakobe hana fedha wala akaunti binafsi ila Kanisa lina akaunti yenye Sh. Bilioni 8.1; amemwomba Rais radhi

    Hahahahaaaaa...... majitu bahili utayajua tu.... unafikiria ulivyo bahili kutoa sadaka ndio wote walivyo..... Sasa 8bil. Mbona vijisent tu hivyo.... waumini......
  6. J

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Kweli kuwa great thinker kunahitaji kipaji.......[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  7. J

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Kagera (Bukoba)..... haya unataka nini tena????........
  8. J

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Inaoneka jinsi gani ulivyo mvivu kufikiri unadhani Askofu Kakobe hana access ya kujua aliehamishwa kapelekwa Wapo.. ... Kwa taarifa yako miongoni mwa hao hao waliokuwa wanamkagua watakuwa wamempo mtonyo huo....... We kalia kufikiri ndani ya uwezowako mdogo..........
  9. J

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Mkuu jitahidi kuwa mfatiliaji wa mambo. Mbona hiyo kauli alitoa kipindi cha Kikwete 2014.... n.a. TRA hawakumfata au ndio imekuwa hoja kwao baada ya MTUKUFU MFALME RAISI MAGUFULI kuambiwa atubu?
  10. J

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Hata hiyo audio/video crip mbona ni ya mwaka 2014 tena sikukuu ya pasaka mbona TRA hawakumfata.... Au ndio mwendo wa kutafuta kiki.....
  11. J

    Askofu Kakobe aweka wazi hujuma anazofanyiwa na TRA baada ya kumkuta hana kosa la kukwepa kodi

    Jaribu kuwa na hakiba ya maneno..... ushabiki wako peleka kwenye vyama ila sio imani na kiongozi wa kiroho.... madhara yake huwa ni makubwa... jikite kwenye hoja
  12. J

    Askofu Kakobe kesho atatoa mrejesho wa uchunguzi wa TRA kuhusu utajiri wake

    Hapo biblia ilikuwa wazi sana inazungumzia kuhusu kodi ya Mungu na ya kaisali.... nasio dini na siasa.
  13. J

    Askofu Kakobe kesho atatoa mrejesho wa uchunguzi wa TRA kuhusu utajiri wake

    Wanajua hawana yakusema ndio maana wamepiga kimya..... tunavyowajua hawa wapenda kiki sana wangekuwa wameshatoa mrejesho the same day..... sasa watoe nini zaidi ya aibu..... TRA mngeenda kimya bila publicity hofu isingekuwa kwenu huu ya mrejesho wa Leo
  14. J

    Askofu Kakobe kesho atatoa mrejesho wa uchunguzi wa TRA kuhusu utajiri wake

    Nyie ndio mtakipata mnachotafuta Kwa Askofu Kakobe, kama sio utajiri (wokovu) alionao basi laana kubwa sana toka kwa Mungu anaemtumikia..... unadhani ni mvaa ilizi kama ninyi..... hahahaaa
Back
Top Bottom