Recent content by jay y

  1. jay y

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Muhongo aje mgawo wa umeme uishe na mrad wa REA uendelee vizur
  2. jay y

    Kwa Prof Muhongo na Mwakyembe, Rais Kateleza kuwateua kwenye Baraza

    : MALOFA NA WAPUMBAVU KATIKA UBORA WAO: 📌SLAA Lowassa tumemtaja kwny orodha ya watu wanaolitia hasara taifa List of Shame. 📌Mbowe Nawashangaa wanaowachoma moto vibaka na kumuacha Lowassa akikamua mitaani. 📌Mch. Msigwa Anayemuunga mkono Lowassa apimwe akili haraka...
  3. jay y

    Baraza jipya la Mawaziri: Tanzania Mpya tuliyoitegemea imeanza kuyeyuka..!

    Acha wivu wa kijinga yani ata kazi hawajaanza ushaanza maneno ya kike ww endelea kuzungusha mikono. Unamsema Mwakyembe na Mwigulu kua wametia hasara taifa vip Lowassa mliyemsema miaka na miaka mkamsafisha dakika 5.
  4. jay y

    Nina hakika hili baraza halikuwa chaguo la Mheshimiwa JPM

    Kweli amevurunda ngoja tumpe mtaalam wa nishat na Pro Jay
  5. jay y

    Nina hakika hili baraza halikuwa chaguo la Mheshimiwa JPM

    Mlijisifu anatekeleza ilani ya ukawa sa mbona mnalalamika kwa mawaziri ulitaka amchague Pro Jay baada ya Pro Muhongo 😂😂👆
  6. jay y

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Ukawa miaka yote mlisema Lowasa mchafu na tuhuma nying zam ya CCM kusema muhongo msafi
  7. jay y

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Ukawa acheni upuuzi Lowasa aliulizwa kuhusu Richmond alijibu nenda mahakamani je ilo hukuliona umekuja ona la Magufuli
  8. jay y

    Nina hakika hili baraza halikuwa chaguo la Mheshimiwa JPM

    Ulitaka amchague Pro Jay, Lowasa na Mbowe tulien ukawa sindano inauma ila ndo dawa
  9. jay y

    KUBENEA Vs LOWASSA

    East Africa mwandish ni Mohammed Aly wa jicho pevu kutoka Kenya awa wengine wote ni matapeli
  10. jay y

    Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

    Jiulize kwa ni sababu ip hawatak kuacha vita na al shabab na kukubal kupigwa na al shabab ni shame kwa taifa na jeshi
  11. jay y

    Tanzania kuzidiwa nguvu za kivita(kijeshi) na Kenya na Uganda!

    Kenya inatuzid vip jesh lao limeshidwa na mgambo wa al shabab ambao hawana mafunzo ya kijeshi
  12. jay y

    Hali ilivyo Dodoma Wakati huu.

    Fanya vurugu Dodoma uone watu wanataka cheo
Back
Top Bottom