Recent content by jay moseif

  1. jay moseif

    Naomba ushauri, biashara yangu haiendelei

    Mkuu Asante sana kwa ushauri. Mbinu hii ckuwahi kuifanya kabla
  2. jay moseif

    Naomba ushauri, biashara yangu haiendelei

    Inshu nyingine mafundi wengi mno. Kwa hiyo ushi dani ni mkubwa. Jambo linalosababisha bei kuwa chini kitu kinachopunguza faida.
  3. jay moseif

    Naomba ushauri, biashara yangu haiendelei

    Ubarikiwe sana mkuu asante kwa ushauri
  4. jay moseif

    Naomba ushauri, biashara yangu haiendelei

    Mi nipo chanika homboza karibu
  5. jay moseif

    Naomba ushauri, biashara yangu haiendelei

    Mi nip chanika homboza huku karibu
  6. jay moseif

    Naomba ushauri, biashara yangu haiendelei

    Habari wanajamvi, nimekuja mbele yenu mm ni kijana wa miaka 25, lengo la kuamdika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya biashara yangu. Mimi ni fundi kuchomea lakini pia nimejiongeza kwa kujifunza ufundi sofa. Lakini biashara yangu haitembei kabisa labda wenye uzoefu na mambo haya wanipe ushauri...
Back
Top Bottom