Habari wanajamvi!!
Mimi ni mfugaji niliyekuwa nikifuga kuku kwa kununua vifaranga.... Baada ya muda mrefu nimeamua kujipanua kwa kununua incubator ndogo ya mayai 120....
Utotoleshaji wangu wa kwanza, niliweka mayai 120 ila nilipata vifaranga 62, mayai 14 yalionekana hayakurutubishwa, mayai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.