Recent content by jastertz

  1. jastertz

    JamiiForums Tanzania Walimu bora wa shule za sekondari kwa nyakati zote hapa Tanzania

    Ndani ndani kule
  2. jastertz

    JamiiForums Tanzania Polisi: Tumewakamata watuhumiwa waliokula njama ya kutaka kumteka Tarimo - Kiluvya

    huenda hata wale mashuhuda kuna miongoni mwao,kuna yule aliyekatiza mwenye nguo nyeupe, kwahiyo idadi kuwa kubwa inawezekana
  3. jastertz

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tanga: Kinachoendelea Tanga kinatishia usalama wa raia na mali zao.

    Habari, Taarifa zisizo rasmi Tanga mjini imejikuta katika hali ya sintofahamu kutokana na uvamizi wa watu nyakati za usiku na kuporwa. Waandishi wa habari Tanga wamenyamaza hawaripoti taarifa kama hizo ili watu wawe makini katika shughuli zao,,, tukio kubwa limetokea barabara ya 3 kwa...
  4. jastertz

    JamiiForums Tanzania Job opportunity

    michongo ya hivi huwa ndio yenyew,,
  5. jastertz

    JamiiForums Tanzania Ukinunua Dawa ukazidishiwa na Daktari/Muuzaji huwa unasema au unakausha?

    Habari zenu, Kuna ile tabia unaenda dukani unanunua kitu unazidishiwa au chenji inarudi imezidi.. Kuna wengine waungwana husema papo hapo na kuna wengine hutoka na speed 120km/h bila kuangalia nyuma asije kuitwa. Sasa tuje upande wa matibabu. Ikitokea umeenda kununua Dawa iwe Dukani/Duka la...
  6. jastertz

    JamiiForums Tanzania Hatuna hata movie moja iliyoigiziwa Mlima Kilimanjaro

    MOVIE YA ROYAL TOUR NI WIMBO AU SIO
  7. jastertz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume mna roho mbaya ndiyo maana mnakufa mapema

    Wakati wa tendo yeye anafanya akifika mshindo amwage nje,, wewe na hamu zako unamshikilia kwa nguvu ili asimwage nje, Pole sana dada next time uolewe kwanza
  8. jastertz

    JamiiForums Tanzania Sioni haja ya kwenda chuo

    elimu ni hazina isiyofutika... biashara hufilisika, elimu ukishaipata umeipata
  9. jastertz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa single mothers: Single Mothers Special Thread

    Single fathers wamechill tu
  10. jastertz

    JamiiForums Tanzania Prayers, hardworking and discipline

    Kwa haraka haraka hapo ni kama 1,200,000/= kwa mwezi na hapo hakuna makato. anyway keep pushing, obey the road signs you will.
  11. jastertz

    JamiiForums Tanzania Binti yako kama hana elimu asikanyage Dar es Salaam

    more than
  12. jastertz

    JamiiForums Tanzania Binti yako kama hana elimu asikanyage Dar es Salaam

    kumbe ni kweli
  13. jastertz

    JamiiForums Tanzania Binti yako kama hana elimu asikanyage Dar es Salaam

    kwa sababu una akili ndio maana unalielewa hilo, ila hamna aliyepotoshwa hapo. mimi nimetoa elimu kwa wanaoingia dar wasiige maisha ya watu, au wazazi wawafatilie watoto wao pindi wanaenda kwa ndugu na kukaa muda mrefu.
  14. jastertz

    JamiiForums Tanzania Binti yako kama hana elimu asikanyage Dar es Salaam

    haha ni mfano tu mkuu
Back
Top Bottom