Habari,
Taarifa zisizo rasmi Tanga mjini imejikuta katika hali ya sintofahamu kutokana na uvamizi wa watu nyakati za usiku na kuporwa. Waandishi wa habari Tanga wamenyamaza hawaripoti taarifa kama hizo ili watu wawe makini katika shughuli zao,,, tukio kubwa limetokea barabara ya 3 kwa...
Habari zenu,
Kuna ile tabia unaenda dukani unanunua kitu unazidishiwa au chenji inarudi imezidi.. Kuna wengine waungwana husema papo hapo na kuna wengine hutoka na speed 120km/h bila kuangalia nyuma asije kuitwa.
Sasa tuje upande wa matibabu. Ikitokea umeenda kununua Dawa iwe Dukani/Duka la...
Wakati wa tendo yeye anafanya akifika mshindo amwage nje,,
wewe na hamu zako unamshikilia kwa nguvu ili asimwage nje,
Pole sana dada next time uolewe kwanza
kwa sababu una akili ndio maana unalielewa hilo, ila hamna aliyepotoshwa hapo. mimi nimetoa elimu kwa wanaoingia dar wasiige maisha ya watu, au wazazi wawafatilie watoto wao pindi wanaenda kwa ndugu na kukaa muda mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.