Leo tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es Salaam na kutangaza kwamba amejizulu nafasi yake kama Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Wananchi (CUF).
Sisi kama Chama tumezipokea taarifa hizo na tunayaheshimu...
Nguvu kubwa ya caldone ikiongozwa na majasusi waliokubuhu Kardinal Pengo, Pinda, Membe na vijana wa kazi ilikuwa imetua Chadema kwa mwezi mzima ikipita mlango wa nyuma,
Heko Chief Rwakatare na kikosi chako kwakuzuia hayo hasa ukitumia mfumo wa external battle bird ambao umewaacha hoi majasusi...
Ilani ya Moderator:
Thread hii imefungwa hadi uthibitisho wa madai haya utakapoletwa kuliko kujadili uzushi au porojo tu. Mhusika amepewa masaa 48 kuwa amethibitisha alichoandika chini ili hoja hii iendelee au iondolewe kabisa naye kuwajibishwa.
Do you know The Tanzania Intelligence Act?
Chadema wangejidanganya wasema wanaifahamu hii chama kingefutwa siku hiyo hiyo.
Try to read the Rep of Tz constitution of 1977, Sehemu ya Tatu, ibara 18-(1-2).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.