Recent content by Jasmine_

  1. J

    JamiiForums Tanzania Hodi

    Asante sana, bwana Mphamvu.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Hodi

    "karibu" ni ' 欢迎 ' kwa kichina.
  3. J

    JamiiForums Tanzania "nga" ni nini ?

    Bwana Mphamvu, yes, I got it now. thanks a lot. :A S 11:
  4. J

    JamiiForums Tanzania "nga" ni nini ?

    Bwana Mphamvu, Asante sana. lakini siwezi kuelewa . kiswahili changu si nzuri. uniambie tena kwa kiingereza? asante tena.
  5. J

    JamiiForums Tanzania "nga" ni nini ?

    Mara nyingi ninaona neno ‘nga’ kabla ya ‘li’, ‘na’ (tense) , kama vile, ningalikuja ..... tafadhali, unaweza kunieleza ‘nga’ ni nini? Na nipatie mifano kwa kuandika sentensi nyingi mbali mbali. Asante sana. Sometimes I found there is a ‘nga’ before the tense word like ‘li’, ‘na’.., what...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

    Ninajifunza Kiswahili kwa miezi sita hivi. Lakini mimi ninafahamu kiswahili kidogo. Maneno huko yanayoandikwa , mimi ninayatafuta kamusi.org au africanlanguages.com.. naomba nyinyi mnaweza kuniambia makosa yangu. Sasa hivi ninataka kutafuta mtu anayeweza kuongea kiswahili na anayejifunza...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

    Kwanza, ninafahamu Kiswahili kidogo. Halafu, mwalimu anakaa Ujerumani sasa hivi, mimi ninajifunza kwa njia ya mtandao wa skype. Mwalimu anafundisha sarufi tu. Mwalimu wangu hana nafasi kuongea na mimi pamoja. Asante. Mimi naomba kutafuta mtu anayeongea kiswahili na mimi. At the same time (mimi...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

    bwana andy, mimi nina mwalimu mmoja wa kiswahili. sikiandiki nitamuuliza mwalimu yangu.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

    Bwana Karoli, ndio, bado ninatafuta mtu wa kuongea nae kiswahili. bora tunaweza kuongea kwa njia ya skype. lakini sijui kama unatumia skype au la? ama tunaweza kutumia njia ya facebook. lakini naweza kutumia facebook kidogo (means I could't visit facebook very often because of limit of our...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

    Habari yenu, Asante kwa majawabu yenu. Mimi ni mchina kweli kweli. nilijua jasmine ni jina la kiingereza. Siku hizi mimi ninapokea mjumbe, asante sana. Lakini sasa mimi sina uwezo hapa jamiiforum kujibu mjumbe. labda nitaweza kujibu siku chache baadaye. bado naombe kutafuta mtu fulani...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Jamaa ni nini

    Asante bwana onduru.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Jamaa ni nini

    Bwana Bisansaba, asante sana kwa elezo lako. sasa ninajua jamaa inamaana matatu. mao ni rafiki, mtu fulani, au watu ambao una mahusiano nao ya kiukoo.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Hodi

    Bwana Globu, asante. inaonesha unajua kichina.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta anayeweza kuongea Kiswahili nchini Uchina

    Asante sana.
  15. J

    JamiiForums Tanzania Jamaa ni nini

    siku hizi mimi naona neno la jamaa. inaonekana neno ya jamaa kuna maana mengi.
Back
Top Bottom