Duh!,punguza jaziba bro!!
Mambo mazuri hayataki haraka,mchakato huu ni mzito unaitaji muda na umakini usio na lawama hebu tuwe wavumilivu jamaa wafanye kazi itakayo dumu zaidi ya miaka 50.ushapanic bro!
Hakuna kifungu cha kipuuzi hata kimoja katika rasimu ya kanuni!,kila kifungu kina maana na kizuri japo kinaweza kuboreshwa au kubadilishwa kulingana na hoja za mjumbe au wajumbe.
Vilevile sio hoja zote ziletwazo na mjumbe za marekebisho zinaweza kuwa na maana hasa ziletwazo na watu mnaowaita ni...
Hakuna kifungu cha kipuuzi katiba rasimu ya kanuni!,vyote vina maana nzuri sana japo vinabadilika kulingana na unavyoweza kuvijengea hoja.
Hata huyo tindu sio zote anazopinga anakuwa na hoja za msingi,kuna wakati anapinga hoja ambazo ziko sawa kabisa basi tu kwa sababu yeye anti....makubaliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.