Recent content by Jaquelines

  1. Jaquelines

    Mamlaka ya Maji Machame, nimelipa kuunganishiwa maji wananizungusha hadi leo

    Nimelipa gharama za kufungiwa maji na vifaa nimenunua tangu tarehe 2 January 2024 lakini wanazungushana kutoa mita. Mhasibu anasema mpaka fundi aje na fundi anasema mpaka aitwe kwenye kazi. Kama vile hakuna ushirikiano wa kazi lakini wao ofisi moja.
  2. Jaquelines

    KERO ZA USAFIRI: Umekumbana na kero gani kwenye harakati za usafiri?

    Wakati mwingine wanaongeza nauli mnapokuwa wengi ama usiku unapoingia. Na sisi abiria huona kawaida sana, unakubali nauli mpya uende nyumbani.
  3. Jaquelines

    Malipo ya mitihani ya kufunga muhula yameanza lini?

    Mitihani ya kufunga muhula kwa shule za msingi huwa inalipiwa na wazazi au serikali hutoa mitihani kwa gharama zake? Hii ni mara ya pili mtoto anatumwa hela ya mtihani.
  4. Jaquelines

    SoC02 Uwajibikaji Katika Malezi

    Utangulizi Uwajibikaji ni neno la Kiswahili linalotokana na neno 'wajibu' likiwa na maana ya jambo la lazima ambalo mtu au watu fulani kulifanya. Uwajibikaji wa malezi ya watoto katika familia, jamii na hata taifa zimandio hulea mabadiliko (manufaa au yasiyo na manufaa) katika jamii au taifa...
Back
Top Bottom