Mkuu umeandika Maneno ya kufikirisha Sana. "Umeshindikana, unamzibua, kutoka nje ya ndoa, umanju, ngonjera, intertwined, michepuko, AMBIQUITY, haina shobo" Shehe wangu umeniacha njia panda.
Kiongozi, Lengo siyo kupata dada wa Kihangaria na kuishi huko. Lengo ni kupata Elimu ambayo itakuwa msaada kwangu na Kwa jamii inayonizunguka nyumbani Tanzania.
Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering).
Habari ndugu zangu,
Mimi ni kijana, nimezaliwa na kukulia katika kijiji kimoja kilichopo Mkoani Shinyanga. Nilihitimu stashahada ya uhandisi Kilimo miaka kadhaa iliyopita kutoka chuo cha Wizara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.