Recent content by Jappe

  1. J

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering)

    Mkuu umeandika Maneno ya kufikirisha Sana. "Umeshindikana, unamzibua, kutoka nje ya ndoa, umanju, ngonjera, intertwined, michepuko, AMBIQUITY, haina shobo" Shehe wangu umeniacha njia panda.
  2. J

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering)

    Kiongozi, Lengo siyo kupata dada wa Kihangaria na kuishi huko. Lengo ni kupata Elimu ambayo itakuwa msaada kwangu na Kwa jamii inayonizunguka nyumbani Tanzania.
  3. J

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering)

    Hapa sijakuelewa. "Wanpelekaga uswahili adi abroad" how?
  4. J

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering)

    Kaka inaonekana unapafahamu vizuri huko. Safi Sana. Asante Kwa Information.
  5. J

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering)

    Kaka siyo Urusi!!! Pia Chuo kipi cha Veta pale Dodoma kinatoa Shahada ya Kwanza ya uhandisi katika Kilimo?
  6. J

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering)

    Kwahiyo Kiongozi Faida ya kusoma nje ya Nchi Bachelor of Science in Agricultural Engineering ni kupata mdada wa Kihangaria?
  7. J

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering)

    Naomba kujua faida za kusoma nje ya Nchi (Bachelor of Science In Agricultural Engineering). Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana, nimezaliwa na kukulia katika kijiji kimoja kilichopo Mkoani Shinyanga. Nilihitimu stashahada ya uhandisi Kilimo miaka kadhaa iliyopita kutoka chuo cha Wizara ya...
Back
Top Bottom