Recent content by Japhet Maboja

  1. Japhet Maboja

    Kifo cha Edgar Lungu na uhaini wa Tundu Lissu ni funzo kwa Rais Samia

    Tena kama haamini ajiulize tu rahisi kuwa nani alijua Samia Hasan Suluhu atakuwa rais wa nchi yetu? Dunia na asili ina mengi na inaweza kukushangaza muda wowote kwa namna ya ajabu usiyoitegemea. Naungana na mtoa mada,ubinadamu na kuwatendea kwa staha wapinzani wetu kwenye siasa ilipaswa iwe...
  2. Japhet Maboja

    Kelele za Mlango, Chura Kisimani na Joka la Mdimu. Japo Si Lolote, Si ChochoteZikizidi ni Kero. Maa' Hebu Wape Tuu...Bila Mabadiliko, INEC ni Batili!

    Mayala Mayala kule kwetu tunamaanisha njaa,mzee wa kuuma na kupiliza. Mwanahabari mwanasheria aliyegombea ubunge 2020 ,sijui na mwaka huu utajitosa?
  3. Japhet Maboja

    Ushauri Muhimu kwa Wanaoanza Elimu ya Juu Mwaka Huu

    Umeona mbali na ila hujaeleza kwa wale wanaosomeshwa na wazazi je,mhm zaid kwao ni nini?
  4. Japhet Maboja

    Ina maana wote tuwe walimu?

    una IQ kubwa na unaona mbali sana ww kwa jibu hlo.
  5. Japhet Maboja

    Maandamano ya amani kwa waliokosa mkopo HESLB tarehe 15 October

    ww kwenu zpo cyo?hali ni mbaya watu hawana chochote chuo umepangiwa af hujui pakuanzia iyo mbinu mbadala utushrikshe.
  6. Japhet Maboja

    TCU na NIT

    Ni kwel elim yetu haithaminishwi hivi na walio bahatika kushika nyanja na taasisi mhimu km za tcu???hawawez waza hata kidogo adha tunayopata kubishana na kupata viholo visivyo na maana wakatutolea majina tukawa huru na maandaliz ya kujiunga na hivyo vyuo?jaman si watoe general notice ya...
  7. Japhet Maboja

    Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

    Mzee kea mpishi wangu,rocky english teacher,sr elsi math..long live seminaries,,espcl makoko.
  8. Japhet Maboja

    My profile

    hata mimi ni vlevle sjui mpaka lini sasa?
  9. Japhet Maboja

    National Council for Technical Education (NACTE) Wanafunzi walioomba Shahada ya kwanza

    waongo tu hao yaan ni majanga tu,mana si tcu wala nacte ni km sio ofsi za serikali;tuvute subra na waendelee kudanganya ili muda wetu uende.
  10. Japhet Maboja

    Elimu yetu ipo kibaguzi, direct entry ndio wamepewa nafasi zaidi vyuoni

    Tatzo lako uko over ambitious maana ulilenga ud,pole sana labda nikuambie tu kuwa unahaki zote za kupata chuo na bodi ipo kwa niaba ya watz wote regardless lini walimaliza so ungoje tu km udom bado huko huko utapata,usijiwekee uhakika na vitu ambavyo huna maamuz ya moja kwa moja navyo,mengne...
  11. Japhet Maboja

    Selection KCMC 2014

    Wap sasa,weka link km wenzio wanavyofanya lengo ni kujua na kuona.
  12. Japhet Maboja

    Tujuzane status za account zetu TCU

    Kwa anaejua hili,hasa waliowahi tumia cas;je, kwenye selection ya hizo coz tano mwanafunzi alizoomba wanamchagua mwnfnz kwa kufuata prfence yake alivoomba au ni vice versa au randomly???
  13. Japhet Maboja

    B.A in Geography and Enviromental Studies

    People are not serious with their carrier,utajuta km unaombaomba tu bla kujua.
  14. Japhet Maboja

    Naomba msaada, TCU profile inaonesha sikufanya application

    Make re-application b4 15th of this month under a single fauculty that you will be given via ua acc.otherwiz u will be a looser,never mind bcz where there z a will even the way z there too.
Back
Top Bottom