Hivi majuzi nimeota kuwa rafiki yangu amefariki, ambaye alikuwa mgonjwa na baada ya ndoto hiyo nilihuzunika sana lakini nilimpigia simu na akasema yupo poa tu.
Je nini maana ya ndoto hii naomba kujuzwa wana jf.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.