Wabongo wahuni tu hakuna specialist wala nini usanii Tupu imagine daktari bingwa anamiliki bar huo muda wa kufanya mambo ya maana anautoa wapi? Kazi kujisifia Sifia tu wenzetu bingwa anapewa hadi ulinzi mshahara na bima ndio usiseme , huko machawa ndio wanakula nchi
Tangu wameua watu kila siku kashfa wanahangaikkaaaaa kujitetea serikali za wauaji na wasanii ndio zilivyo huko nyuma kuna ile ya Iran pia usajili wake ulikua wa hukohuko kizimkazi, bado wanalazimisha tu kuongoza na kuendelea kuua
Sasa Kama mireli yenu ya mchongo mnadai imekamilika? Kwanini msiondoe hayo malori yenu mkapeleka huko Congo na hapo mkatumia treni? Akili ndogo kuongoza kubwa ndio madhara yake hayo
Matako yenu mji hauna maji umejaa matukutuku yanauza maji utadhani watu wako DAFUR na nyie na waziri wenu bado mna enjoy kuwepo ofisini tu pumbaf zenyu.
Umasikini mbaya sana yaani watu mnakwenda kushangaa ngazi, loh! kwa namna hii mafiisiiemu yatatawala milele kama lile jibwa lao lilivyonukuliwa liksema juzikati kwenye media.
mashahidi wa kificho hata script yao waliyoandikiwa hwaijui loh, nchi ngumu sana hiyo mara zote mambo yakubumba na kutunga mwishowe wacheza sinema hupoteana. Nasubiri pia shahidi Samuya na wambura na majaliwa nao wapande kizimbani, kama hawajazikana jinsia zao hadharani.
Yaani mauaji yameua yenyewe kisha yanajichunguza yenyewe yani kazi kwelimkweli nikiliangalia lile zee lenye mashavu kama bull dog na sigda kabisa kana kwamba linaswali shuwaini lile napata tabu sana yaani unapewa kazi na liuaji unakubali kabusa kwenda kuweka heshima yako rehani kisa vijisenti...
wanaachaje kuugu mijitu haina maana inachagulaaga tu yani sio shida zao unaenda kwenye ngoma ukion kitu imekuvutia unachukua tu wala sio ishu. hilo ndio tatizo lao kubwa.
Matako yake , ukitaka kumtetea huyo mama unatakiwa uwe chizi kidogo AU wamepiga mulemule hawajamtambua muuaji na aliyejitangaza eti kashinda nyooooooo asilimia 97 unaenda kuapishiwa porini huko kwenye kambi za jeshi Pumbaf sana na bado , kashukia kwa waganga wake kuuliza kwanini hawajamtambua ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.