Recent content by Janja weed

  1. J

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Marufuku ya Pombe zisizo na Ubora Rwanda: TBS imelala wakati Watanzania wanaweza kuwa wanapata Upofu na Kufa kimya kimya?

    mtu anajiita bilionea kwa kuua vijna na mapombe yake ya moshi na bado serikali haramu inamkingia kifua yaani Mungu tu asimame na watanzania vinginevyo hatutoboi.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Pombe feki zinalipa sana. Walevi jiandaeni na DIALYSIS!

    serikali ya wauza unga na wanywa gongo uliona wapi inaweza kudhibiti unywaji na mapombe feki? kama kimama chenyewe kinajisahaulisha mambo ya M29 kwa kula whisky tena zile kali unategemea kuna mtu atawalaani na kuwakemea kina mulokozi wa mati super brand? na ukiangalia sana hao ndio wafadhili wao...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    kwanini huyo arasii wa mchongo hajazungumzia ma yadi ynayozaliwa kila kukicha kwenye maeneo ya watu ama kwakuwa na yeye mnufaika? machizi wamekua wengi huko bongo yani waliambiwa mjini malori marufuku wakajenga mpaka bandari kule kwala lakini hakuna kinachoendelea kuingia mjin mtu anatumia hadi...
  4. J

    JamiiForums Tanzania UMRI WA MIAKA 28 tayar mtu amekua msemaji wa white house na ameomba kuacha nafasi hiyo je TANZANIA chini ya 30 unaweza kua DIWANI?

    kwenye njaa na uvivu wa ufikiri wao wanaona ni fursa kumbe ushubwada tu mazee mpaka yanavalishwa pampasi bado yapo tu yanahangaika wakati wenzao huko ulaya wanapiga tizi tu na kutunza afya, huko kwetu jtu kama kabudi lnatoka mipovu kwenye midomo wala halifuti bado limo tu, bongo bahati mbaya...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Utata wa "identity" wa shahidi wa Jamhuri waibuka mahakamani. Inasemekana huyu Jina lake halisi ni Peter Jumamosi na sio Amin Mahamba...

    Bado kuna madubwana yanaimba mapambio ooh takataka gni linaupiga mwingi nyambaaaaf na bado mtalala sana na viatu na kuacha ndala, mlishaambiwa vitu vya mchongomchongo huwaga havina mwisho mzuri mashupaza shingo haya sasa mpaka marehemu wako mahakamani wanamshuhudia LIssu uongo, kwakweli...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Responded Gharama vifaa vya ujenzi, tishio kupanda kodi za nyumba

    halafu kuna matakataka yanaimba ooh sijui mbwa gani anaupiga mwingi, yani bado kidogo tu tutaelewana kwa pamoja.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Patrobas Katambi: Tutachunguza clip ya Bodaboda kuvutana na Askari Polisi, haki itatendeka

    Wataamua nini linchi limejiozea kila kitu kinajiendea chenyewe kama vile gari bovu, yani asikari kabisa anampiga meno bodaboda hadi mchuzi unatoka, saa nashangaa huyo ni askari ama mbwa? Mkiambiwa watanzania mjipambanie wenyewe hamsikii, yaani kimsingi msipoamka hamna rangi mtacha ona...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Nasikia Cement imepanda hadi kuuzwa Sh 22,000 kwa mfuko. Mtaani kwenu mnanunua kwa bei gani?

    Na bado mtajua hamjui mpaka mtambiwa kulipia pumzi yaani bado jua halijawawakia mtajua hamjui .
  9. J

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Vijana wa Tanzania waanzishe kampuni zao, waanzishe mashamba, wafuge kuku

    Wakiwa huko wanabweka kweli ila wakishatolewa hawawezi hata kulima nyanya wala hata kuuza genge ,amuulize mwenzie kigwangalah sasahivi analialia tu kama chizi, alikuaga anasema hivyohivyo ooh vijana wajiajiri, mbona wao hawawezi?
  10. J

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    huko kijijini watu wanajua hata msafara ni kitu gani? mnatumia nguvu nyingi kujisafisha lakini kimsingi busara ilitakiwa kutumika akamatwe apelekwe kunakohusika sasa kumwaga alizeti zake imewasaidia nini? vitu vingine huko bongo ni ushamba tu.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    nchi ya wajinga unamdhalilishaje mwananchi masikini kwa sababu ya moto? kwani kama ametenda kosa wangemkamata kistaarabu na kumpeleka kituoni na mzigo wake wangepungukiwa nini? ndio maana watanganyika sasahivi kila kona tunaonekana vituko, yaani unatumia nguvu sehemu ambayo wala...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Je, kuwalazimisha vijana kushiriki Mafunzo ya Mgambo kuna tija kwa Taifa?

    kimsingi hakuna tija yoyote mgambo ndio nini mnaacha kutafutia vijana michongo ili waendeleze maisha yao mnaleta uduwanzi, mmeua ajira zote mmewafanya kuwa wapagazi na mabodaboda , mkawapa majina ooh maafisa usafirishaji kumbe ujinga mtupu yaani kwakweli nchi hiyo basi tu.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu nchi za ulaya zinazotumia unga wa mahindi kwenye mapishi yao

    Hahaaaa mada inafikirisha sana wengine wameenda mbali kabisa na kuihusisha na uwezo wa kufikiri nk.nk. kimsingi kuna kaukweli flani hivi kwamba aina ya vitu unavyokula inauhusiano mkubwa sana na uwezo wa mtu kufikiri ndio maana huku tunakobeba boksi watu wengi wana akili sana .wee mtu unakula...
  14. J

    JamiiForums Tanzania KERO Bronchoscopy MNH: Mashine imeharibika miezi 8, ufumbuzi?

    nyie mkufwe tu wenzenu hata wakipata mafua kidogo south hiyoooooo, endeleeni kusema sijui takataka gani linaupiga nmwingi mara sijui limeleta nini sijui limejenga nini yaani mpaka mvua mnasema limeleta. bongo bahati mbaya sana.
  15. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wachimbaji madini mnataka Ruzuku wakati Harusi mnazifanya na Helikopta?

    rahisi bana duh , juzi hapa alikua anaharisha maneno ooh sijui hata hela zinazotoka za maendeleo ni kiasi gani yaani kiufupi mmepigwa, ila wanae na chawa wanavyotanua na hela za walipa kodi wala haoni.
Back
Top Bottom