kule ni jehanam kuna jamaa yangu wa kanda maalum alikua anakusifia ooh maisha rahisi , hizi mvua zinazoendelea huko ananiambia nimuunganishe na madalali wa Goba hataki tena ujinga anahama, kule ni mkoani kabisaaaaa hamna maendeleo yoyote kimsingi ni watu wa hali ya chini sana wanakaa kule na...
TAAKUUKUURUUU ni li mbwa lililochoka limevimbiwa minyama linajamba jamba tu na limekosa mwelekeo kabisaaa, kuna mambo yanafikirisha sana hawa jamaa wanalipwa na kodi za wananchi lakini sijawasikia wakifanya kweli kushughulikia mauzauza yanayoendelea huko Tanzania, kimsingi bora hata yule mjeda...
sio hivyo tu kimsingi watu hawana tena privacy hata kwenye mambo yao ya familia, utakuta mtu anaposti kila kitu mara sijui niko wapi mara sijui nimekula nini mara huyu sijui mtoto wangu wa ngapi, yaani mitandao pia imewaweka watu uchi sana lakini wala hawatambui kwa ushamba wao wanaona sawa tu.
sasa kama wasomi wenyewe hawa vilaza waliojaa kwenye vyeo vya kupewa kuuutwaa wanahangaika na mataito ya udokta na ma piihechidii feki unategemea nini? Bongo kila kitu chenga
mnatakiwa kupunguziwa pia hadi dawa za kufubaza miukimwi yenu hiyo sambamba na kutowaleteeni kabisa condom ili mpakatike muishe na akili zenu ziwarudie, katika nchi ambayo inaamini kwenye mauchawi na miujiza ni taabu sana kupata maendeleo, na zaidi zaidi bado yanaendeleza na kukumbatia yale...
tena sio kinyoka mkuu ni kitreni cha kizamani kwenye ma movie yaleeeeee ya kizamani na spidi ya konokono, yani hapa na dodoma masaa 4 ili iweje sehemu ya lisaa limoja tu taslimu.
sijaona mahali hilo tangazo limesema wanaenda Tanzania kwa ajili ya watu kubadili jinsia ila katika specialities za hao madaktari bingwa kuna ambaye anauzoefu na ujuzi pia wa kufanya hizo mbanga, tusivamie tu vitu bila kujua .mbona kuna madaktari pia ni upinde kabisa lakini wako huko kwenye...
kwani ulikua hujui? we uliona wapi mkopo mpaka wahakiki kadi yako ya uanachama , habari ndio hiyo haiwezekani wezi wagawie hela watu wasio wezi wenzao never
Apumzike kwa amani kapiteeeni , msalimie mzee wa Asaalaaaammmaleyykhuuuuum mzee Kibs Kibonde, mwenyezi Mungu amrehemu na Pole kwa mwanae Caren kajukuu na familia ya Clouds.
very true masikini tuna shida nyingi na uvivu elimu ndio kila kitu, maana hata huyo diamond mwenyewe unaona alivyo shallow kimsingi hamna kitu unaona kabisa kuna kitu hana kutokana na kukosa kwake elimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.