Recent content by Janja weed

  1. J

    JamiiForums Tanzania KERO SGR si jambo jema kuuzia wateja korosho zenye fungus

    duh kope za bandia tena kwenye SGR loh yaani kina mwantumu ndii wameajiriwa humo? inawezekana hizo korosho ni mradi wake binasi anatoa huko uswazi apige hela nchi hiyo ngumu sana.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya muda mfupi, Zanzibar imetajirika ghafla ila Tanganyika chaliii

    sasa mnalalamika nini? tulieni sindano iingie hakuna namna ndio mliyoyataka , simlikua mnasiia sifia kila upuuzi kazi kwenu sasa. nyambaf
  3. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akoleza uchumi wa viwanda

    viwanda vipi wee bwabwa , mmetengeneza umasikini kwa vijan ajira hakuna , wamejiajiri wenyewe kwa kuendesha mapikipiki mkajidai kuwapa majina ooh maafisa usafirishaji na wao walivyokuwa maboya wanakubali kabisa kwamba hiyo ni ajira rasmi tena imetengenezwa na serikali yenu haramu. Maisha ya...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Nimekutana na kitu cha ajabu sana

    mihadarati mibaya sana
  5. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nani kawaambia madaraka niliyonayo ni madogo, ebu wasome Katiba wapumbavu hawa

    waziri wa mchongo kama mchongo , hii inaitwa like samuya like fiisiiemu.
  6. J

    JamiiForums Tanzania David Djumbe asema kiongozi wa waliomteka alikuwa akiongea lafudhi ya ki Zanzibar

    unateka mtu badae unasema unamtafuta ili umfungue pingu na baadae tena unasema unawatafuta waliomteka Duh ila Bongo hata shetani anashangaa mwenyewe.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

    labda wangemuua samuya ndio wangepatikana nadhani hao ndio watumike kuua wauaji wooote wa oktoba
  8. J

    JamiiForums Tanzania Pori la Mbweni ndo jehanamu mpya?

    hiyo ndio bongo na usalama wa fiisiiemu , mtajuta kuwafahamu.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu avitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuwa macho dhidi ya wavunja amani

    its better to keep quite usije kuonesha upuuzi wako kwa wenye akili, na Mungu awajalie wenye akili kunyamza.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mapokezi ya Rio Ferdinand hapo Airport ya Dar, yamenipa maswali mengi kuliko majibu

    Watu hawana kazi na hawana akili ndio mtaji wa mafiisiienu watu hawana ajira mafuta bei juu wanaenda kucheza sinema za bashite anayetumia hela za walioakodi. Nchi hiyo bahati mbaya sana
  11. J

    JamiiForums Tanzania Mwendokasi Mwendokasi Mwendokasi

    Nimewaita mara tatu , hivi nyie umbwa mwezi wa tatu sasa Kimara na Kivukoni hakuna huduma ya choo na mnasafirisha watu wa aina mbalimbali wakiwemo wagonjwa watoto etc, hivi kwenye nchi hiyo mnaweza nini? Kusimamia hata choo mnashindwa, then kuna matakataka utayasikia Sijui serikali ya mama nani...
  12. J

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Askari wamewajeruhi vijana watatu kwa risasi – Uvinza wakati wa msafara wa DC, Mei 5, 2026, hatua zichukuliwe

    Wayaue tu Maamae si waliambiwa wawakatae wakajifanya kushupaza shingo, kwahiyo huko hadi wadiisii wana misafara ya asikari na mabunduki, wanywa damu sikuZote huendelea tu
  13. J

    JamiiForums Tanzania Je, mgeni wa Azam anayetangazwa ni nani?

    Jamaa walianza vizuri sana ila baada ya kuendekeza udini na usiisiiemu kwisha habari Yao nawachukia sana Nilikua nawafuatilua sana huko nyuma Kama media mbadala ya huko home lakini nao wamegeuka tiibiisiisiiemu
  14. J

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU NAONA NI BORA IWEKWE CHINI YA JESHI YA WANANCHI (JWTZ)

    Wote maumbwa tu hakuna mwenye ahueni hata mmoja kikubwa ukipata ugali wako kula na wanao yaishe hiyo nchi ni shida kuanzia kule kwenye kilemba chekundu
Back
Top Bottom