Recent content by Janja weed

  1. J

    Dunia na mambo yake yote yanapita!

    hata huyo mama yao wanaomtaja mara nyingi kwa siku kuliko wanavyomtaja Mungu naye ataondoka tu tena bila chochote kabisa
  2. J

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    kule ni jehanam kuna jamaa yangu wa kanda maalum alikua anakusifia ooh maisha rahisi , hizi mvua zinazoendelea huko ananiambia nimuunganishe na madalali wa Goba hataki tena ujinga anahama, kule ni mkoani kabisaaaaa hamna maendeleo yoyote kimsingi ni watu wa hali ya chini sana wanakaa kule na...
  3. J

    Katavi: TAKUKURU yabaini usimamizi mbovu katika miradi ya Serikali

    TAAKUUKUURUUU ni li mbwa lililochoka limevimbiwa minyama linajamba jamba tu na limekosa mwelekeo kabisaaa, kuna mambo yanafikirisha sana hawa jamaa wanalipwa na kodi za wananchi lakini sijawasikia wakifanya kweli kushughulikia mauzauza yanayoendelea huko Tanzania, kimsingi bora hata yule mjeda...
  4. J

    Ni upuuzi kuongea mambo ya ofisini kwenu maeneo ambayo hayahusiki na kazi

    sio hivyo tu kimsingi watu hawana tena privacy hata kwenye mambo yao ya familia, utakuta mtu anaposti kila kitu mara sijui niko wapi mara sijui nimekula nini mara huyu sijui mtoto wangu wa ngapi, yaani mitandao pia imewaweka watu uchi sana lakini wala hawatambui kwa ushamba wao wanaona sawa tu.
  5. J

    Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

    sasa kama wasomi wenyewe hawa vilaza waliojaa kwenye vyeo vya kupewa kuuutwaa wanahangaika na mataito ya udokta na ma piihechidii feki unategemea nini? Bongo kila kitu chenga
  6. J

    Benki ya Dunia yasitisha kufadhili mradi wa REGROW. Mradi huo unahusishwa na ukiukaji wa Haki za Binadamu nchini Tanzania

    mnatakiwa kupunguziwa pia hadi dawa za kufubaza miukimwi yenu hiyo sambamba na kutowaleteeni kabisa condom ili mpakatike muishe na akili zenu ziwarudie, katika nchi ambayo inaamini kwenye mauchawi na miujiza ni taabu sana kupata maendeleo, na zaidi zaidi bado yanaendeleza na kukumbatia yale...
  7. J

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    tena sio kinyoka mkuu ni kitreni cha kizamani kwenye ma movie yaleeeeee ya kizamani na spidi ya konokono, yani hapa na dodoma masaa 4 ili iweje sehemu ya lisaa limoja tu taslimu.
  8. J

    Waziri Gwajima, Serikali yetu Inaruhusu Gender Reassignment Surgery?

    sijaona mahali hilo tangazo limesema wanaenda Tanzania kwa ajili ya watu kubadili jinsia ila katika specialities za hao madaktari bingwa kuna ambaye anauzoefu na ujuzi pia wa kufanya hizo mbanga, tusivamie tu vitu bila kujua .mbona kuna madaktari pia ni upinde kabisa lakini wako huko kwenye...
  9. J

    Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

    Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka sana , maanina na juzi akaharisha mbele ya Rais kule Arusha eti kuna mawaziri wanamhujumu Rais.
  10. J

    Tetesi: Mikopo ya 10% ya Halmashauri imegeuka kuwa mikopo ya Wanachama wa CCM

    kwani ulikua hujui? we uliona wapi mkopo mpaka wahakiki kadi yako ya uanachama , habari ndio hiyo haiwezekani wezi wagawie hela watu wasio wezi wenzao never
  11. J

    Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

    ukishaona mtu anajifanya sijui nabii sijui mtume sijui matamsha ya dini gani sijui kaa naye chinjo atakuwa ana mambo yake nje ya pazia tu.
  12. J

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Apumzike kwa amani kapiteeeni , msalimie mzee wa Asaalaaaammmaleyykhuuuuum mzee Kibs Kibonde, mwenyezi Mungu amrehemu na Pole kwa mwanae Caren kajukuu na familia ya Clouds.
  13. J

    Mlio huko Vyuo Vikuu mnasoma sijui Masters na Doctorates zenu zina maana gani wakati hata tusio na Elimu Kubwa EAC tunatunukiwa tu Vyeti ya Heshima?

    very true masikini tuna shida nyingi na uvivu elimu ndio kila kitu, maana hata huyo diamond mwenyewe unaona alivyo shallow kimsingi hamna kitu unaona kabisa kuna kitu hana kutokana na kukosa kwake elimu.
  14. J

    Gazeti la Wamachinga ni mali ya nani?

    chawa flani hivi wa yuuviisiisiiemu
Back
Top Bottom