Mkuu mshana salute kwako, ni kweli kabisa imefika mahala watu wamechanganyikiwa lakini hawawezi kutoka front wakasema chochote, ooga ,uchawa, umbea ,kuviziana, ulafi, etc.etc etc, nchi imekuwa ya hovyo hakuna tena uhuru wa fikra , ukiwa na mawazo tofauti wanakuua, yani kwakweli ni Mungu tu...