duh kope za bandia tena kwenye SGR loh yaani kina mwantumu ndii wameajiriwa humo? inawezekana hizo korosho ni mradi wake binasi anatoa huko uswazi apige hela nchi hiyo ngumu sana.
viwanda vipi wee bwabwa , mmetengeneza umasikini kwa vijan ajira hakuna , wamejiajiri wenyewe kwa kuendesha mapikipiki mkajidai kuwapa majina ooh maafisa usafirishaji na wao walivyokuwa maboya wanakubali kabisa kwamba hiyo ni ajira rasmi tena imetengenezwa na serikali yenu haramu. Maisha ya...
Watu hawana kazi na hawana akili ndio mtaji wa mafiisiienu watu hawana ajira mafuta bei juu wanaenda kucheza sinema za bashite anayetumia hela za walioakodi. Nchi hiyo bahati mbaya sana
Nimewaita mara tatu , hivi nyie umbwa mwezi wa tatu sasa Kimara na Kivukoni hakuna huduma ya choo na mnasafirisha watu wa aina mbalimbali wakiwemo wagonjwa watoto etc, hivi kwenye nchi hiyo mnaweza nini? Kusimamia hata choo mnashindwa, then kuna matakataka utayasikia Sijui serikali ya mama nani...
Wayaue tu Maamae si waliambiwa wawakatae wakajifanya kushupaza shingo, kwahiyo huko hadi wadiisii wana misafara ya asikari na mabunduki, wanywa damu sikuZote huendelea tu
Jamaa walianza vizuri sana ila baada ya kuendekeza udini na usiisiiemu kwisha habari Yao nawachukia sana Nilikua nawafuatilua sana huko nyuma Kama media mbadala ya huko home lakini nao wamegeuka tiibiisiisiiemu
Wote maumbwa tu hakuna mwenye ahueni hata mmoja kikubwa ukipata ugali wako kula na wanao yaishe hiyo nchi ni shida kuanzia kule kwenye kilemba chekundu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.