mtu anajiita bilionea kwa kuua vijna na mapombe yake ya moshi na bado serikali haramu inamkingia kifua yaani Mungu tu asimame na watanzania vinginevyo hatutoboi.
serikali ya wauza unga na wanywa gongo uliona wapi inaweza kudhibiti unywaji na mapombe feki? kama kimama chenyewe kinajisahaulisha mambo ya M29 kwa kula whisky tena zile kali unategemea kuna mtu atawalaani na kuwakemea kina mulokozi wa mati super brand? na ukiangalia sana hao ndio wafadhili wao...
kwanini huyo arasii wa mchongo hajazungumzia ma yadi ynayozaliwa kila kukicha kwenye maeneo ya watu ama kwakuwa na yeye mnufaika? machizi wamekua wengi huko bongo yani waliambiwa mjini malori marufuku wakajenga mpaka bandari kule kwala lakini hakuna kinachoendelea kuingia mjin mtu anatumia hadi...
kwenye njaa na uvivu wa ufikiri wao wanaona ni fursa kumbe ushubwada tu mazee mpaka yanavalishwa pampasi bado yapo tu yanahangaika wakati wenzao huko ulaya wanapiga tizi tu na kutunza afya, huko kwetu jtu kama kabudi lnatoka mipovu kwenye midomo wala halifuti bado limo tu, bongo bahati mbaya...
Bado kuna madubwana yanaimba mapambio ooh takataka gni linaupiga mwingi nyambaaaaf na bado mtalala sana na viatu na kuacha ndala, mlishaambiwa vitu vya mchongomchongo huwaga havina mwisho mzuri mashupaza shingo haya sasa mpaka marehemu wako mahakamani wanamshuhudia LIssu uongo, kwakweli...
Wataamua nini linchi limejiozea kila kitu kinajiendea chenyewe kama vile gari bovu, yani asikari kabisa anampiga meno bodaboda hadi mchuzi unatoka, saa nashangaa huyo ni askari ama mbwa?
Mkiambiwa watanzania mjipambanie wenyewe hamsikii, yaani kimsingi msipoamka hamna rangi mtacha ona...
Wakiwa huko wanabweka kweli ila wakishatolewa hawawezi hata kulima nyanya wala hata kuuza genge ,amuulize mwenzie kigwangalah sasahivi analialia tu kama chizi, alikuaga anasema hivyohivyo ooh vijana wajiajiri, mbona wao hawawezi?
huko kijijini watu wanajua hata msafara ni kitu gani? mnatumia nguvu nyingi kujisafisha lakini kimsingi busara ilitakiwa kutumika akamatwe apelekwe kunakohusika sasa kumwaga alizeti zake imewasaidia nini? vitu vingine huko bongo ni ushamba tu.
nchi ya wajinga unamdhalilishaje mwananchi masikini kwa sababu ya moto? kwani kama ametenda kosa wangemkamata kistaarabu na kumpeleka kituoni na mzigo wake wangepungukiwa nini? ndio maana watanganyika sasahivi kila kona tunaonekana vituko, yaani unatumia nguvu sehemu ambayo wala...
kimsingi hakuna tija yoyote mgambo ndio nini mnaacha kutafutia vijana michongo ili waendeleze maisha yao mnaleta uduwanzi, mmeua ajira zote mmewafanya kuwa wapagazi na mabodaboda , mkawapa majina ooh maafisa usafirishaji kumbe ujinga mtupu yaani kwakweli nchi hiyo basi tu.
Hahaaaa mada inafikirisha sana wengine wameenda mbali kabisa na kuihusisha na uwezo wa kufikiri nk.nk. kimsingi kuna kaukweli flani hivi kwamba aina ya vitu unavyokula inauhusiano mkubwa sana na uwezo wa mtu kufikiri ndio maana huku tunakobeba boksi watu wengi wana akili sana .wee mtu unakula...
nyie mkufwe tu wenzenu hata wakipata mafua kidogo south hiyoooooo, endeleeni kusema sijui takataka gani linaupiga nmwingi mara sijui limeleta nini sijui limejenga nini yaani mpaka mvua mnasema limeleta. bongo bahati mbaya sana.
rahisi bana duh , juzi hapa alikua anaharisha maneno ooh sijui hata hela zinazotoka za maendeleo ni kiasi gani yaani kiufupi mmepigwa, ila wanae na chawa wanavyotanua na hela za walipa kodi wala haoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.