Kama daktari anajiita bingwa Hana hata mafuta ya kumfikisha kazini unategemea ataacha kuona wagonjwa kwake ni Dili? Huku mibunge hata kusoma haiwezi inakwapua mabilioni Kule Dodoma, nchi ikiongozwa na kilaza ndio matokeo yake haya
Angekuwepo mwendazake ile bandari ya kwala ingekua inatumika na foleni Dar es salaam ingekua story, najiuliza Kama huyo mbunge kuna nini? Mbona haianzi kazi? Kwa akili zenu za mafuta lita pound 6000 na dola 800 mna cha kuwaambia wadanganyika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.