Recent content by Janja weed

  1. J

    JamiiForums Tanzania Kulikoni huko Tanzania (hasa Dar es Salaam) nasikia sasa hivi katika Daladala kuna Sura Ngeni nyingi sana tu?

    Hao wengi ni wale waliokua wanasifia kila kitu mpaka Mambwana zao wakijamba sasa wanaisoma kweli
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

    Utawasikia kazi na utu mwisho wao unakaribia wanashupaza shingo tu
  3. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wamejaza magari ya washa-washa mitaani kabla ya Ripoti ya Chande kukabidhiwa

    Yaani kuua muue wenyewe kujichunguza mjichunguze wenyewe, ripoti mpike wenyewe na bado mnaogopana wenyewe loh 😂👏👏👏
  4. J

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha Watu wazima kuwa na akili za kitoto?

    Njaa ndio tatizo kubwa hasa wale waliowahi kuugua kwashakoo utotoni
  5. J

    JamiiForums Tanzania Nabii feki Uegber Angel adai Rais mstaafu wa Zambia Lungu alikufa kwa sababu alimkatalia kuingia Zambia

    Watu mna Mishida kibaaaooooo bado mnaamini Sanaa za maonyesho, hakuna nabii wala mtume Dunia hii
  6. J

    JamiiForums Tanzania Watangazaji wawili wa KYELA FM walioshikiliwa na Jeshi la Polisi waachiwa kwa dhamana Mkoani Mbeya

    Tyranns yaani Kisa walisoma habari ya polisi aliyemshitaki RPC kwa mwigulu loh nchi ngumu sana hiyo , lakini Wakisifiwa ruksa 🤷‍♂️
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mwenge wa uhuru wapongeza DAWASA uboreshaji huduma za maji Kigamboni

    Umbwa nyie mnapongezwa kwa lipi ,mji hauna maji kuna watu tangu uchaguzi hawana maji Takataka nyie . Hata aibu hamna
  8. J

    JamiiForums Tanzania Polisi: Mwanamtandao Ashlee Jenae alifia Hospitali baada ya kukutwa amejinyonga

    Nchi corrupt Mara mchumba Hana hatia mara tunamshikilia kwa uchunguzi kwa kushirikiana na wataalam kutoka nchini Kwao yaani full usengerema
  9. J

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Wanaanzaga hivihivi baadae utaskia anajiita piihechidii kumbe lifomfoo felia
  10. J

    JamiiForums Tanzania KERO Hospitali ya Mlonganzila mnatia aibu, yani mnachukua pesa kibao lakini mnashindwa hata kutengeneza lifti, kweli kabisa?

    Kama daktari anajiita bingwa Hana hata mafuta ya kumfikisha kazini unategemea ataacha kuona wagonjwa kwake ni Dili? Huku mibunge hata kusoma haiwezi inakwapua mabilioni Kule Dodoma, nchi ikiongozwa na kilaza ndio matokeo yake haya
  11. J

    JamiiForums Tanzania Hivi matamko ya Samia yatatolewa ufafanuzi mpaka lini?

    Na bado kifuatacho ni kuvaa kufuli kichwani badala ya lemba lile , Jitu zero brain kinataka kuongoza vichwa how
  12. J

    JamiiForums Tanzania Mbunge Shabiby: Kwanini Bandari Kavu ya Kwala haitumiki au kuna michezo ya rushwa inayoendelea nyuma ya Pazia?

    Angekuwepo mwendazake ile bandari ya kwala ingekua inatumika na foleni Dar es salaam ingekua story, najiuliza Kama huyo mbunge kuna nini? Mbona haianzi kazi? Kwa akili zenu za mafuta lita pound 6000 na dola 800 mna cha kuwaambia wadanganyika?
  13. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    Vipi kuhusu EWURA 😂😂😂😂😂
  14. J

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Tabata hatujapata huduma ya maji ya DAWASA kwa takriban miezi miwili sasa

    Watu hamna maji mnakuja kulalamika huku? Pigeni hao umbwa kila mnapowaona mkishaambiwa hakuna nchi huko bado mnashupaza shingo tu
  15. J

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za Mbondole – Msongola hazipitiki, iwe jua au mvua!

    Hayo majina sasa then unataka kupitike loh 😂😂
Back
Top Bottom