Recent content by Janja weed

  1. J

    JamiiForums Tanzania Hivi TBS inakuaga wapi?

    kama hata liserekali lenyewe feki unategemea kuna taasisi itakuwa genuwine? unashangaa maiti mochwari loh.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Nikiona mtu kama Bashite ni Waziri halafu Lissu yuko jela, ni mfano mwingine kwa Waafrika hawajitambui

    Sasa kama anayewateua mwenyewe zero brain unategemea kitu gani? Taifa hilo la kuombewa sana, majinga yamekaa kwenye maofisi wenye akili wako mtaani wanahangaika.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemshauri Samia kufanya safari za ndege DSM kwenda Urusi? Huyo mtu kama yupo, afukuzwe Kazi!

    Auto pilot country kila mtu anawza kupewa mamlaka yoyote bila kujali ana elimu wala hana elimu, ana ujuzi wala hana ujuzi. SHAME.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Makamu wa rais Ndejembi aagiza saruji kushuka bei

    kheeee yani na yeye anaagiza loh kweli bongo bahati mbaya .alooooo.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ukamataji wa POLISI usozingatia PGO, Uvaaji Sare Polisi , unaacha Loophole ambayo Wahalifu wanaitumia kufanya Utekaji ,Mauaji !

    kabisa kila mtu anafanya naloweza na hakuna kitu mtafanya kwani shingapi, ukiona kichwa cha kuku ndio kiko pale juu unategemea walioko chini watafanya chochote? Bongo bahati mbaya sana.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kumbe em yupo kizuini na amenyaqanywa cm

    tena wanatakiwa wamuue kabisa kama yule mpishi wake maana alikataa kumsujudia mungu wao wa kizimkazi.kuna safari ndefu sana huko bongo.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Vyuo vya Sasa Vimekuwa Viwanda vya Kutoa Vyeti, Siyo Maarifa. Kuna haja gani ya kupeleka watoto vyuoni ?

    Kama wahadhiri wenyewe wenye mawazo tofauti na watawala wanakamatwa na kupewa makesi makubwa makubwa unategemea kuna nchi tena hapo? wenye akili wameshagundua hakuna tena elimu hapo ndiomaana wanapeleka watoto wao kule kwenye asian tigers wakajifunze ujuzi na maisha pia, huko kwenu mlishaharibu...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Watu 3 Ambao napenda Kuwasikiliza Wakitoa Hotuba zao

    maprofesa wa kuokota majalalani, yaani ni kama wachagga tu kajamaa kakiwa na hela baasiiiii , utaskia shikamoo mtoto wangu. Ukiwa fiisiiemu ni ngumu sana kutumia akili yako hata kama unayo kidogo ya kuku.
  9. J

    JamiiForums Tanzania MADARAKA YA KULEVYA: Umwagaji Damu, Utekaji, na Siku za Mwisho za Udikteta

    Mkuu mshana salute kwako, ni kweli kabisa imefika mahala watu wamechanganyikiwa lakini hawawezi kutoka front wakasema chochote, ooga ,uchawa, umbea ,kuviziana, ulafi, etc.etc etc, nchi imekuwa ya hovyo hakuna tena uhuru wa fikra , ukiwa na mawazo tofauti wanakuua, yani kwakweli ni Mungu tu...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Inasemekana mfanyabiashara 'Mariam Uswazi' anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kati

    duh bongo bahati mbaya sana kwahiyo mtu akiwa tu muuza baa malaya mchekeshaji sijui nini basi ashakuwa maarufu, sasa mtu wa nmna hiyo ana impact gani kwa jamii? unaweza kuwa muuza uji tu unaitwa maarufu, mambo ya msingi hakuna anayefuatilia , nchi inaliwa mande mbele na nyuma watu wanafuatilia...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Miaka 26 sina nachomiliki zaidi Bachelor Degree valid traveling passport, Driving License class D. NATOKAJE

    vijana wa kibongo wengi mjifunze mbali na hilo karatasi linaitwa digirii wakiliondoa utakua na kingine kipi cha kujivunia? kuna mwana falsafa aliwahi kusema nje ya digirii yako unaweza kuwa na jipya? kama huna ujue wewe ndio basi tena.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Usalama wa Taifa, JWTZ, na Jeshi la Polisi Tanzania Hivi mnatuonaje?

    yaani mtoa uzi bado hujajua kama hao unaowataka wafanye hiyo kazi ndio wahusika wakuu? pole sana kama bado una imani na hayo mavyombo hewa yanayoripoti lumumba kwa kila jambo na sio weledi wao.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Barabara ya Mwenge ni kero kwanini haikamiliki?

    barabara zitakamilikaje na wao wako bize kufukuzana uanachama wana waza vyeo kuliko maendeleo ya watu na kwakuwa mitanzania mingi ni mivilaza wala hakuna kitakachoendelea.majitu yamekasimu uwezo wa kufikiri kwa kimwanamke tena kiliochoolewa mke wa pili ili kifikiri kwa niaba yao. na ukitaka...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Butiku: Viongozi wote wa Zanzibar walikuwa wanamuunga mkono Seif kulinda Zanzibar ila Tanganyika mambo yao yote wameyaweka kwenye muungano

    mazee ambayo yanavalishwa mpaka pampasi bado kuna mtu anaweza kuyatetea ama kuchukua hata chembe moja ya maoni ama ushauri wao? hiki kizee sio cha kuamini hata siku moja, kwanza njaa kali pili akili zimeshashuka kwa kiasi kikubwa sana.
  15. J

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Uwanja wa JNIA mbioni kubinafsishwa. Hoja kujadiliwa Bungeni kuanzia Kesho 24 Agosti

    nchi nzuri imebarikiwa kila kitu ila imepata rahisi wa bahati mbaya ndio hivyo tena anachojua kuuza tu na wala hajali. bado awauzeni mpaka na makaburi ya bau na baba zenu, yaani mpaka akili ziwakae sawa. Na badooo.
Back
Top Bottom