Hii nchi kwa kweli viongozi hawatendi haki maana ya jupunguza GPA 3. 5 TO 3. 0 INAMAANA GANI WALE WA 2. 7 , 2. 8, 2. 9 WAFANYE NINI NA NI ZITE NI LOWER SECOND
Nina GPA 2.8, accountancy, niliapply kabla new GPA haijawekwa ya 3.0, nyumbani wananiona sifai hadi ninatamani kujiua ninapenda kuendelea na elimu ila kadri siku zinavyoenda ninazidi kuwaza sana na yote hayo sina hata kazi nifanyeje?
Inability wawa angalia vizur Hao vijana maana kipind want apply Hawakuwajuza mapema kama GPA imeongezeka na hata hivyo wamewacheleweshea selection wakati wenyewe ndo waliapply mwanzo kama vipi wawarudishie pesa zao za walizotumia kuapply na fidia juu ya kuwapotezea mda wao wa kuapply
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.