Habari za majukumu wanajamvi
Naomba kwa mwenye kujua wanapouza viatu vya mpira kwa bei ya jumla k.koo anisaidie mawasiliano yao.mimi napatikana mwanza.
Ndio mkuu tunahitaji hiyo elimu ili tuweze kufuga ufugaji wa kuku wenye tija kama nchi zilizoendelea sio kufuga kimazoea mathalani ufugaji wa kuku wa kienyeji binafs nauona kama ni ngumu kutengeneza faida kubwa kwani uzalishaji huchukua muda mrefu sana japo sisemi ufugaji wa kuku wa kienyeji ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.