Recent content by Jan town

  1. J

    Bodi ya mikopo huu ni wizi au utapeli?

    wanatapatapa tu awana msaada bora bodi ibinafsishwe...
  2. J

    Vyumba vya kupanga Jordan-Moro

    tupo wengi wa Moro town sema post zako labda azina logic ndomana unakosa wadau...
  3. J

    Upi uamuzi wa busara unapomfumania mpenzi wako?

    mpige picha alafu mjazie inzi ataachika mwenyewe ataondoka bila talaka
  4. J

    Tumaini kwa waliokosa mkopo HESLB

    ina maana not secured ndio ata boom amna wadau kwa tuliokosa mkopo ata pesa takujikimu mbona mwaka huu amna desh wala zero tujue ebu nisaidien wadau.
  5. J

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    S0771/0057/2007 msaada Wako Maula nichekie mkopo.
  6. J

    Mpenzi ananizingua

    huo sio urembo ni ishara kwamba anagawa tigo pole bro muelewe ndo umvue.
  7. J

    Kwa hili HESLB imeniacha njiapanda

    pesa zimeshaachiwa jamani zilitakiwa kupelekwa vyuoni toka wiki hii mwishoni au kuanzia jumatatu izo ni habari kutoka kwenye web Yao helsb.
  8. J

    Namchukia mume wangu kwa sababu amenifanya niwe malaya

    chakufanya arudi kwao atafute kazi yakufanya mumewe ampendi uyo binti kwakifupi atamchakaza tu kwani jamaa anaonekana Ana upeo mdogo ktk mapenz ndo mana anashindwa kuijali familiar yake ni bora uyo binti kurudi kwao kuliko kuwapa mzigo wanaume wengine ili spate kujikimu kwa kifupi anauza mzigo...
  9. J

    UDOM combined SELECTED undergraduate students

    kwaiyo hii combine list ndo wanafunzi wote wa udom so watawaweka tena kwa batch au ndo wamemaliza hapo??? Naomba mawazo yenu wadau.
  10. J

    Second batch UDOM 2014/15

    wameshatoa udom combine applicants selection
  11. J

    Second batch UDOM 2014/15

    they say instute selected university of Dodoma simply ni upo kwenye selection ya university of Dodoma kwa ufahamu wangu tcu kazi Yao nikupeleka majina kulingana na chuo na sifa zako lakini chuo kikikukataa uwez kuwa institute selected utaambiwa ufanye tena selection ya round ya pili na...
  12. J

    Second batch UDOM 2014/15

    aina sheeda wakuu tusubili admission letter watajuana wenyewe
  13. J

    Second batch UDOM 2014/15

    mi nafikili as longer as tumeshakuwa ktk admission result selection 2014/2015 na tumepangiwa chuo sidhani kama ninuhimu kuwa kwenye list wakati tumekuwa institution selected nikufukuzia admission letter tu au wadau mna maoni gani kuhusu mawazo yangu naomba idea zenu pia maana aya mambo sometimes...
  14. J

    Second batch UDOM 2014/15

    kozi zingine atuzioni na majina yetu pia ayapo kwenye list ya second batch lakini list ya tcu tupo tumechaguliwa udom sasa hapo inakuwaje msaada wenu wadau mnaoelewa ili swala.
Back
Top Bottom