Recent content by Jamil_Jamal

  1. Jamil_Jamal

    Vodacom FWA supakasi

    Kwenye wengi kuna mengi, hu uzi nishautuma na kama unavoona hii shida ipo, wapo wanaochangia kwasababu imewakuta na inasaidia kuelewa walichofanya.
  2. Jamil_Jamal

    Vodacom FWA supakasi

    Habari naomba Vodacom mnitaftie ufumbuzi kwaninhili tatizo kwangu limekua la kudumu. Nimelipia Supa kasi Fwa ya 115,000 -up to 20Mbps lakini shida inakuja kila mara mnara unaondoka na ishatokea hivo zaidi ya mara 10. Inanibidi nicheki na watu wenu wa customer service nayo imekua changamoto mtu...
Back
Top Bottom