taarifa ya habar hyo ilitolewa na katibu mkuu wa wizara ya afya na ustawi wa jamii Dk Donan mmbando.amesema serikali itaendelea kufuatilia na kusimamia viwango vya taaluma ya uuguz na ukunga ili kuboresha utoaji wa huduma katika sekta ya afya nchini.
hiyo ndio habar yao brother
wadau mbona website ya nacte kwangu haifunghki leo ila jana ilikuwa poa na pia website ya chuo nilichotuma maombi private haifunguki leo ila jana ilkuwa powa.
jaman nina c3 za olevel kwenye masomo ya science ya physics,chemistry na biologia ila math nna E nmeomba diploma ya mdical lab science pale st francis medical collage je naweza pata wadau
da brother wanazid kutuweka roho juu yani bora watoe tujue moja nin tunafanya hata mm nina C3 za pcb lakin math E na english B nmeomba diploma in medical lab sciencd kule st francis ifakara na nmeapply government lakin had sasa cna uhakika wa kupata hyo hapa nakosa had aman na mzee alishaandaa...
in all my ways i have to acknowladge him and he shall ditect my paths. ninashukuru sana kaka kwa hilo nmekuelewa sana na nalifanyia sana kaz ila ni woha na hofu tu ziliniingia
kwel ilikuwa tarehe 2 ila wakasogeza hadi tarehe 16 na wamesogeza tena mbele had tarehe 31 hii ni kwa higher education kuanzia ordinary diploma mkuu maelezo zaid yapo nacte kwa home page yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.