Yaani nilifungua display ya PC ya HP EliteBook 8440p kwa kuwa ilikuwa inaonyesha mistsri mistari iliyokuwa inanafanya screen iionyeshe Mara mbili sasa wakat nimeifungua nauchomeka mkanda vizuri ikatokea sparks na kijiharufu cha kama cha kuungua kitu ndani basi nikaifunga lakini nikiiwasha...
Mkuu naomba msaada niltoa screen kucheck kama haijaunganishwa vizuri kwa sababu ilikuwa inaonyesha mistari mistari michache kwenye screen na imetenga screen mara mbili lakini screen iko mwishon mwishon then nikaiwasha huku naunganisha screen na na kiwaya kinachoingia ndani Mara nikaona kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.