Recent content by jaluz

  1. J

    GPA zetu bongo kweli ni kizungumkuti

    Vyuo vya private wanauza gpa tu hamna lolote,udsm hamna pumba hizo ndo maana kinafanya vizuri katika viwango vya kimataifa..najua inawauma lkn ukweli ndo huo wadau
  2. J

    Tunaomba ushauri wako tafadhali

    asante kwa habar
  3. J

    Ubovu wa combination mpya ya CBM

    nakumbuka mwenge boys nilivyosota na pcb leo nasoma computer eng,hiv unafikir kila mtu anataka kuwa docta we kilaza?
  4. J

    je inawezekana wadau?

    haiwezekani
  5. J

    Hapa ndipo walimu walipofika...

    Alichoongea ni sawa,philosophers walivyoongelea juu ya lengo la elimu ni tofaut na kinachofanyka sasa hiv,tatizo serikal
  6. J

    Form four results 2012

    hilo wenge lako subiri tu,mwezi march dogo
  7. J

    kw nini udsm hwafungui branches mikoani au nje ya tz

    Wana duce tunapata shida,kila kitu kinafanyika main cumpus..naona bora tusiwe chini ya udsm
  8. J

    Hivi udom ni chuo au high level school

    Ni kweli udsm hakuna ubabaishaji,ukweli ndo huo ndugu zangu
  9. J

    waoooo!

    happy new year wana JF!
  10. J

    Udom kama Barcelona

    Udom ni sawa na mtu mwenye kipara alafu hana mshiko,mtabadilisha sana bahasha kwenye kutafuta kazi! UTAIKUMBUKA POST HII
  11. J

    Matokeo ya darasa la 7 ni kituko na ni aibu kwa taifa

    Siasa mpaka kwenye elimu;inaboa sio siri maana watoto wanazidi kupotezwa,hisabati kama kawa kuchagua a,b,c...duuuh!
  12. J

    Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

    Mliochangia naona mnatoka udom,huyo mtoa mada nahis anakichafua chuo chenu kionekane cha kata sasa!
  13. J

    Wana duce

    Tuwahi kurudi chuo maana ratiba ya ue ishatoka tangu tar 26 dec
  14. J

    Ba education at muslim univ of morogoro (mum)

    Toa vigezo ndugu,usiandike tu..au unakitambulisha maana wengi hawakijui kipo wapi kwan hata tcu hakipo!!
Back
Top Bottom