Sina hakika kama viongozi wetu wanajali maslahi ya mtu mwenye kipato cha chini, Kodi wachukue, Wachukue na pesa nyingine wakiita mfuko wa hifadhi ya jamii ambapo hiyo jamii ya wachangiaji hawawezi nufainika na michango hiyo. Na tena akitaka kuichukua hiyo pesa aliyochangia huyu mwanajamii ni kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.