Sabaya court decision is not news. The outcomes were known from the date he was arrested. More importantly, this matter has political backups and background. It isn't news and not a surprise. If Jacob Zuma was jailed the former president, who is Sabaya, a merely District Commissioner! One...
Nao akina Polepole wanafutika soon waganga njaa alafu akina kasimu na bashiru ni maslahi binafsi ya Meko!!!! Fuatilia saga la mfuniko wa Mafuta bandarini lililosanuliwa na sospeter alipobiwa na bwana Joseph!!!! Ninyi Magufuli was a thief
Kundenge alitaka amuue naye baada ya kuzongwa zongwa na Lodilofa kwamba anayofanya siyo sahihi onhoooo Ikala kwa Lodi Lofa kwamba ni heart attack Saa nyingine wanasiasa sijui Kama watapata cha kujibu huko mbinguni
Kwa mara ya pili Tanzania Waziri Mkuu anaenda kusitishwa uongozi katikati tukumbuke Warioba na Sokoine waliwai kusitisha uwaziri mkuu kwa sababu mbali mbali
Sokoine ilikuwa kwa ajili ya Masomo Lakin Warioba ilikuwa kushindwa kutoa ushauri murua .
Wengine wanaoaga ni Nchemba anapelekwa Kilimo...
Pamoja na Kwamba CCM imechoka ikachokwa na kuchokekana Lakin wapo baadhi ya vijana na wazee wenye uwezo wa kuongoza japo ni wachache tutajie unao Ona wamebaki mi orodha yangu ni hii
1. Prof Mussa Assad
2. …………..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.