Recent content by Jaji-Mkaruka

  1. Jaji-Mkaruka

    Picha: JK aongoza kikao cha kamati kuu (CC) Dodoma

    Hata Mwalimu JK Nyerere alijua bila CCm Madhubuti Tanzania itayumba, Ndivyo sasa tunaweza kuona nchi inavyoyumba kama nyumba iliyokosa kiongozi (Baba na mama). Wanasiasa wanataabika,Polisi,waandishi wa habari,Wanafunzi, wakulima,wafanyabishara+wamachinga, wafanyakazi,Wazee pia wanataabika!!!! Ni...
  2. Jaji-Mkaruka

    CCM wamgeuka RC Arusha: WADAI AMEMWONGEZEA UMAARUFU LEMA, CHADEMA

    Huyu Bwana Mulongo kama ni katolea mfano wa Bagamoyo anataka kuudhirisha Umma kwamba yeye ni Serikali(Usalama wa taifa) aka Mlezi kwa hiyo anaweza kufanya lolote juu ya Waandishi na kuwatishia kwamba~ “Unapoingia katika mkakati wa kudhalilisha kiongozi wa serikali unakuwa umeiweka roho yako...
  3. Jaji-Mkaruka

    Nikitazama uwezo wa viongozi na watendaji naona kwanini nchi imejaa ujinga kuliko

    POLENI SANA WANASIASA WA CHAMA TAWALA (CHUKUA CHAKO MAPEMA) HAPO NI MWANZO WA KUCHAMBUA MAJANNGILI YA RASILIMALI ZA TAIFA BADO MENGI YANAKUJA NA WATABAKI WACHACHE KATIKA CHAMA HICHO SABABU 2015 TUTAPIGA KURA ZETU KWA KUANGALIA USAFI NA UZALENDO. KATIKA HAYA WE UNAFIKIRI NANI ATABAKI INGAWA...
  4. Jaji-Mkaruka

    Exclusive: Majibizano kati ya Job Ndugai na Eliasanti Bugenyi yaibua mapya!

    Katika majibizano ya hawa wawili huhitaji kupata Shahada ya chuo kuona kiongozi makini ni yupi na M.p.u.mbavu ni yupi! Kwanza kabisa kwa kusigina katiba ya JMT, Kuabudu ni haki ya kila mtanzania na kwa kudhihaki imani ya mtanzania ni kosa la jinai!!! Sababu Kila Mtanzania ana haki ya kuabudu...
  5. Jaji-Mkaruka

    Ndugu wa Ahmed Msangi: Maisha yetu Hatarini; Hemedi Katumiwa!

    Katika ushaidi alioutoa Dr. Ulimbona ni kwamba alihusika katika shambulio hilo, Na katika maelezo ya Dr. Ulimboka alisema kwamba gari iliyomchukua Lidaz kuelekea Kwenye shambulio hilo lilikuwa mithili ya Toyota Staret! lakini sisi tulio karibu na Ahmed Msangi tunajua gari yake aliyokuwa natumia...
  6. Jaji-Mkaruka

    The way how I know Mr. Zitto Kabwe

    Haya mashindano ya mbio hizo nani alikuwa anayasimamia na kwa vigezo vipi? Nani nani alikwambia anatafutwa mshindi??? Acha habari yako ya kutumia nazi badala ya ubongo!!!! Ndiyo maana wanasiasa wanayumbayumba kwa ajili ya watu wasio na busara!!!! Ni wakati wa kujenga sio kulinganisha.
Back
Top Bottom