Watanzania if you have nothing to to lose ni bora ukae kimya ila if you have something to lose usikae kimya amani sio kutopigana makonde mnaweza kupigana makonde na ukabaki na amani vilevile.
Mi sishtushwi na hao praiz team kwanza siwaiti praiz team mi nawaita prank team wanamchezea prank baba wawatu anajiona anapendwa kumbe niprank tu .Wote hawa wanao mwambia aongeze muhula wanamfanyia prank tu.
Usalama unaowapa uhuru wala rushwa na madikteta uhuru wa habari na kujieleza na kukandamiza wananchi na uhuru wao ni sawa na usalama unaotaka kutufanya watumwa kuacha
Ila watanzania nyie ni vichwa maji mnataka mkae tuu mkitaka hao wazee wa 20% waje wa watetee..Ndio maana hata wanaharakati watanzania wanakufa moyo kwa sababu hawapati sapot..hata huyo mzee Rwaitama sioni kama ana lakupoteza coz hata sapoti hana naona kawa piga banter la kiaina “tulieni...
Magufuli hahitaji mtu anae msapotsapot kila jambo some time uneshe uelewa wako kwenye jambo analo kuelekeza ukimsapot sana atakuona ni weak na ita pelekea yeye kukupa kauli yoyote inayo kuja kichwani mwake mfano "serikali haina shamba"(kagera) "uzazi wa mpango hauna maana" "sitaongeza mishahara"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.