Kweli mr q kwann ulifiche taifa uovu ambao watu wanafanya kwa mfano rais angesema nn anapoamua kumfukuza kitwanga...? tupo zama za ukweli na uwazi kwani ni tusiseme ukweli kitwanga alijua anafanya kosa na bado alienda kujibu hadharani......Magufuri big up
Al in all magu amefanya jambo zuri ni lazima watu wawajibike kwa makosa yake kma waziri wa nchi kuingia ukiwa umelewa ni jambo la lisilo kubadilika hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.