Recent content by jackson millan

  1. J

    DAR: Waziri Ndalichako, Anna Makakala wa Uhamiaji na TCU watinga chuo kikuu cha Kampala. Wafanyakazi 30 wakamatwa

    Kwa kweli leo nimeshanga et askari wa uhamiaji anakitambi!!! sijawahi ona, nayeye anjikubali kwamba eti ni askari mchapakazi,serikali inabidi iwafundishe watuishi wake namna ya kula,maana niwazembe kazini kwasababu ya kula vibaya.
  2. J

    Ushuhuda: Hivi ndivyo nilivyoshuhudia maandamano ya Kinondoni na jinsi watu walivyopigwa risasi

    Et wanasema Tanzania kuna amani,huku wanafunzi wanauawa bila hata makosa alafu serikali inawafariji kwa kutoa rambirambi na kugharamikia shughuli zote za mazishi,.Taratibu tena kwa uhakika wale wanao jiita viongozi bora wanapoteza sifa zao na kulielekeza taifa kwenye uharibifu mkubwa tena usio faa,.
  3. J

    Aliniambia ananipenda sasa ananiomba pesa mara kwa mara

    We We hujui kwamba hali ya uchumi ni mbaya mwenzio ndo kapata pakuponea hapo
  4. J

    DAR: Waziri Ndalichako, Anna Makakala wa Uhamiaji na TCU watinga chuo kikuu cha Kampala. Wafanyakazi 30 wakamatwa

    Kweli hata mimi nashangaa kwamba serikali imeamua kumlimbikizia waziri wa elimu madaraka yote hayo ,huku elimu ikimshinda na anataabika anakosa cha kufanya.
  5. J

    DAR: Waziri Ndalichako, Anna Makakala wa Uhamiaji na TCU watinga chuo kikuu cha Kampala. Wafanyakazi 30 wakamatwa

    sio muhimu sana kwa mwanafunzi kujua jina la kiongozi wake afu ambaye hausiki naye moja kwa moja na inahusiana nini na masomo ya mwanafunzi,Hata hivyo wengine tulikuwa hatumfahamu waziri wa elimu ,leo ndo tumemuona.
  6. J

    DAR: Waziri Ndalichako, Anna Makakala wa Uhamiaji na TCU watinga chuo kikuu cha Kampala. Wafanyakazi 30 wakamatwa

    Hata hivyo alipaswa kuongelea maswala ya elimu na sio uhamiaji kwani wizara ya elimu inahusiana nin na uhamiaji.
Back
Top Bottom