Ndugu zangu habari zenu naombeni wajuzi wa maswala haya ya mdudu hatari kwa usingizi (kunguni) nyumba niliyopanga kuna kunguni wengi naombeni mwenye kujua dawa ya kuwaangamiza anisaidie.
Habari mimi jackson fundi madishi ukiwa una shida au unahitaji kufungiwa kalibu sana popote nitafika ndani ya Dar kwa bei ya 20,000 Tu. Namba za simu 0745305256, 0625563390, 0718166275 kalibuni nyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.