Recent content by jackline Andrew

  1. jackline Andrew

    Yusuf Manji awasili Polisi kituo cha Kati kuitikia wito wa RC Makonda

    lugha katika primary court ni kiswahili , kuanzia district court to court of appeal ni English and kiswahili
  2. jackline Andrew

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    nacholaum ni utaratib wa kumsummons mahakamani...ikiwa hana hatia je...haikuwa na ulazima kumtaja au kuwataja redioni wakati sheria ziko wazi kuwa unakuwa innocent until proven guilty....the treatment now inakuwa ka tayar wako prooved
  3. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Ninachojarib kukifaham ni the whole procedures of extraction of these computer forensics evidence jinsi inavoaffect admissibility yake mahakaman...ambapo watalaam wa forensic wananisaidia kujua aina ya cyber crime...wanaziproove vp nk.
  4. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Nikweli uelewa wa jamii juu ya uwepo wa kitengo hiki ni mdogo, lakin kipo na kinafanya kazi. Pia rate ya cyber imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka kutoka na matumiz makubwa ya mtandao. Japo sheria imekuwa nyuma kidogo kwenye kuyadefine makoxa ya mtandao. Japo kuna amendments zimefanyika kwenye...
  5. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    I apologize, ua welcome to contribute
  6. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Hapa Tanzania kuna Cyber and fraud department within the police force
  7. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Kwa kiwango fulan nimefanikiwa...nawashukuru wote walioni-email mungu awabariki...pia naendelea kupokea michango yenu kupitia my email account
  8. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    The provision provides for an offence of rape
  9. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Sawa hamna tatizo, thank u for your concern
  10. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Yes it mine, can you help me with my thread tittle
  11. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Thanks, ntajitahid kuwasiliana nao
  12. jackline Andrew

    Mwenye knowledge ya Computer forensics in Tanzania

    Am duin research on this aspect if ua owk share with me ua knowledge
Back
Top Bottom