Inshort unaruhusiwakulipa nusu katika ada ambayo ni laki sita n point zake na pia ulipe 158,000 kwa ajili ya direct cost inyoinclude registration, medical, exams fee tec, na medical ni 60,000/= sio laki n unalipa yote hata kama unabima, na hostel ni 79,000/= na sio 78,000/= usipolipa hostel...
Samahani sana wakubwa nilikuwa naomba kama kuna mtu anajoing instruction ya Tumaini Makumira Mbeya aniattachie nidownload na anaejua ada za hostel aniarifu tafadhali.
Najua utajiuliza y nimeishukuru JKT, nimeishukuru JKT kwasababu baada ya JKT kuona wanafunzi wanstahili kwenda chuo ikasema wanafunzi waandike barua na hapo ndipo udhaifu wetu ulipojitokeza, mpaka sasa nimeona vijana wengi wanahangaika hasa huku Mwanza na kuna jamaa yangu yupo Dar nae anasema...
Kwanza naomba niwashukuru form six wote maana tumeshikamana kwa umoja na mungu wetu ametusikia wamepeleka mbele ila pamoja na yote bado hatujajua ni kivipi jeshi letu tukufu likaamua jana kutufanya tupate presha, kiukweli mpaka sasa sielewi ni kivipi walikurupuka na kuja na jambo kama lile? Je...
Ujue tunapokuja kukosea ni kulumbana kuhusu kipi chuo kizuri, muda huu sio muda wa kutambiana vyuo bt kushikamana na kupinga haya maamuzi, angalieni Kenya now kuna matatizo Raila na Kenyata wameungana kushirikiana nasitufanye hivyo jamani tuache kulumbana kuhusu ubora wa vyuo, tatizo likiisha...
Mimi naona wote wanamakosa, hivi TCU hawakuona kwamba JKT wamesema AWAMU YA 3 ni mwezi huu wa 9? na je JKT hawakuona na tena walitangaza hadi walitangaza mpaka redioni vyuo vinafungua na waziri ameaprove kama waliona kuna makosa y wasingekaa nyuma ya pazia na kujadiliana kwa kina na...
Kiukweli katika watu waungwana ww ni mmoja wapo, wengi wamenitukana lakini wameniangalia mimi as if wao hawajawahi kupenda n sijasema nakwenda chuo kufuata mapenzi bt mapenzi hujitokeza. hawajajibu maswali niliyouliza but poa cnc nimejifunza kwamba cc tumekalia siasa badala ya kujibu...
TZ inaanza kupoteza mwelekeo ktk kila mambo na ule usemi wa mapinduzi yataletwa na vijana inaelekea kutimia cnc kadri muda unavyokwenda vijana waana funguka ikifika point ambayo they have nothing to lose hapo ndipo majanga
TABORA URAMBO DAY SECONDARY SCHOOL S0754-0516 HAPPINESS MARCO F amechaguliwa kanembwa - kibondo mkoa wa kigoma.
Ally A Ally hajupo wapo Ally M Ally na wengine so kama vp nitajie xul aliyomaliza 4m 6 na mkoa wa xul ilipo nikusaidie
Kiukweli JKT wametufanya sisi wapuuzi na wajinga, maana wamengojea watu tayari wameshaingia vyuoni na wengine ndo wanajiaanda kwenda halafu wanakuja na habari za JKT halafu hakuna barua inayoelezea kuhusu awamu ya 3 kama walivyofanya awamu ya pili na kwa research niliyofanya nimegundua...
Haya ni majina ya waliochaguliwa kujiunga na JKT tarehe 28 September but ki uhalisia hakuna barua inayoelezea kwamba tunatakiwa tuingie tarehe 28 september hivyo mpaka sasa bado nipo dilema, mnaweza nisaidia kama mnataarifa ya barua inayosema tarehe 28 sept
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.