Naitwa Jackson nipo Moshi,
Sifa zangu mimi ni mkweli, muwazi, mpole, kazi nimejiajiri, umbo langu ni saizi ya kati sio mnene wala mwembamba na umri wangu ni miaka 26. Natafuta mchumba mwishowe awe mke wangu, sifa za ninayemhitaji, awe mnene wa umbo sihitaji mwanamke mwembamba , mpole, mkweli...