Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake katika uwekezaji wa miundombinu na utekelezaji wa miradi kupitia ubia kati ya Serikali na sekta binafsi (Public-Private Partnerships – PPP), huku ikitajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza barani Afrika katika kuvutia uwekezaji binafsi kwenye...
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limefanya kikao cha kwanza na mshauri mwelezi kampuni ya SYSTRA kutoka Ufaransa, inayotarajiwa kufanya upembuzi yakinifu (Feasibility Study) ya mradi wa reli za mjini (Monorail) Jijini Dar Es Salaam, ambapo limesema, sekta binfasi ndiyo itakayotekeleza mradi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.