Recent content by Jabali la Siasa

  1. Jabali la Siasa

    IMF: Tanzania ni moja ya nchi 10 vinara zenye uchumi mkubwa zaidi Barani Afrika kwa mwaka 2024

    Rwanda ipi? Ile nchi wana-fake sanaa mambo yao
  2. Jabali la Siasa

    Kubenea ahoji: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow? Yeye (Kafulila) amchana kwa hoja nzito Saba

    Wote ni Watanzania, Wote ni wapinga rushwa na Ufisadi Wote ni watoto wa mama Samia
  3. Jabali la Siasa

    IMF: Tanzania ni moja ya nchi 10 vinara zenye uchumi mkubwa zaidi Barani Afrika kwa mwaka 2024

    Hongera kwa Kila Raia wa Tanzania kwa kukuza Uchumi wako binafsi, Hii GDP inapatikana kwa kugawa jumla ya uchumi wa mtu mmoja mmoja kwa jumla ya Idadi yetu. #Samia hakamatiki ==== Below are the 10 largest economies in Africa in 2024 according to IMF by GDP: Rank Country GDP (billions) 1...
  4. Jabali la Siasa

    Abdulrahman Kinana amempongeza Rais Samia kwa kuvunja rekodi za Mapato

    Value for money kwenye jambo gani specifically?
  5. Jabali la Siasa

    Abdulrahman Kinana amempongeza Rais Samia kwa kuvunja rekodi za Mapato

    Utapika data vipi kuhusu matuzi pia utapika?
Back
Top Bottom