Kuna mipaka yetu ina matatizo madogo madogo ,wanajeshi wanatumia nguvu kuhakikisha tupo salama. Hawa wataalam inabidi max asaidie watambulike kuisaidia nchi kimkakati.
Tatizo letu ni chumvi ili tuonekane tunajua. Kuna mmoja katoka kunikasirikia hapa kwa kumcheka habari zake alizozijaza madoido utadhani yeye ndo anatoa maelekezo kwa puttin.
Ninachotaka kukuonyesha ni kwamba hakuna jambo utakalolijua wewe uliyepo huku halafu wenyevita vyao wasilijue boss. Kama unajua ni propaganda na ni kweli ni propaganda basi na russia wanajua ni propaganda.
Mtanzania wewe anajua kuwa ni propaganda lakini mrusi na ukraine wanajua ni kweli. Waukraine wanapata moyo, warusi habari zinawachanganya wanazidisha maandamano. Hichi ndicho ulichokisema ndugu yangu😃😃
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.