Image zipi mkuu!?Amna Kaka sio kwamba sijakubali ila ni vile tu,haki inavyopindishwa,ndo maana naongea ila matokeo nimeyakubali...kwasababu ndo ishakuwa hivyo.
Mchunguzi msaidizi anachukua laki 8 na 16,kabla ya makato.ipo hivyo mkuu ukitaka mengine siwezi kupublish hapa ,mpka posho mkoa ,wilaya tunazijua braza usiione tumekaa kimya,na kuna posho ya kila tar 5,acha niishie hapo
Amna malalamiko lazima yawepo kwakua haki imepindishwa watu wameumia just imagine mtu kaanza kuaply kuanzia pt -then ata kweny taasisi km hii pia kuwe kuna madudu,inauma kimtindo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.