Recent content by J boaz

  1. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    jf nizaidi ya darasa asanteni sana kwa mchango wenu nimepata kitu
  2. J boaz

    Nawezaje kumuacha huyu msichana

    💁‍♂️💁‍♂️💁‍♂️
  3. J boaz

    Nawezaje kumuacha huyu msichana

    mbarika, Hahhahahaha kweli bro naona bola niwekeze kiunoni saivii
  4. J boaz

    Nawezaje kumuacha huyu msichana

    Nimejalibu kuelezea ili nielewele na kupata ushauri ulio sahihi
  5. J boaz

    Nawezaje kumuacha huyu msichana

    APOnimejaribu kuelezea kwa upande wangu but amenisaidia vingi sana izo outing zilikuwa zakulinda penzi asione namtegemea sana yeye
  6. J boaz

    Nawezaje kumuacha huyu msichana

    Ndugu zangu mim ni mwanafunzi wa chuo ambae nipo kwenye mahusiano na msichana ambae ni mdogo kiumri kwangu pia bado mwanafunzi yupo form6 fedha girls saivi na ni msichana ambae kwao kuna uwezo na mimi nipo kwenye standard level. I mean maisha ya kati but mwanzo nilimfata baada ya kuwa tuna...
  7. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Still nipo chuo bado bat nilikuw na malengo ya kubase kwenye iyo biashara ndomaan nikaomb ushauri niweze kujifunz kwa walio nizidi nipate kuelewa
  8. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    It means that biashara na elimu vinategemeana THANKS BRO
  9. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Ukiwa unatembez faida inaonekan bat mda mwingine unapo ongea na baadhi ya wateja wanauliza permanent prace ambayo napatikana na Lengo ni kukuza biashara na brand at the same time
  10. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Thanks brother naomba nifanyie kazi kwa ulicho nambia
  11. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Kulingana na matatiz ya kifamilia naona kuna Haja ya kufany biashara angalau niweze kusaidia japo kwa kiasi chake bat at the same time naona umuimu wa kuendelea na chuo what should I do
  12. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Savage94 nashukuru sana kwa ushauri wako naanza kuona umuimu wa kuendelea na masomo
  13. J boaz

    Naomba ushauri: Nimechoka kusoma nataka kumiliki biashara yangu

    Mimi ni mwanafunzi ambae namalizia elimu yangu ya biashara CBE ila kwa sasa siitaji tena kuendelea na masomo naitaji kuanzish biashara yangu binafsi na biashala ninayo taka kufanya ni biashara ya kuuza nguo za mtumba za kike japo sio mala ya kwanza kufanya hii biashara ila kwa sasa nataka...
Back
Top Bottom