Utapata muda wa kutambua uwepo wa Mungu na pengine ukafa ukiwa na mwisho mwema kiimani juu ya Mungu wa kweli
Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Majibu yangu kwa mrengo uutakao,,, yatabadili kabisa maudhui ya huu uzi...
Injili ya kweli ni ile iliyokuwepo kabla ya "Mtume" Paul hajaichakachua... Nalenga agano la kale la Biblia
Anajithibitisha kupitia Taurat, Zaburi, Injili ya kweli na Qur'an. Upo tayari ajithibitishe kupitia vitabu vyake hivi vitukufu?
Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Uko tayari kumjua Mungu wa kweli na mmoja kupitia vitabu vyake vinne? Taurat, Zaburi, Injili ya kweli na Qur'an?
Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Nimekuwa nakufuatilia sn. Maswali yako huwa ni magumu mno kwa watu wa upande wa pili,,,,. Atheists. Safi sn kwa matumizi sahihi ya akili
Sent from my TECNO P6 using JamiiForums mobile app
Ni mbaya/aibu sn Ku- determine suala la Mungu na uwepo wake Bila kujifunza na kumjua kupitia vitabu vyake na Sayansi pia.
Nakushauri jifunze, mwisho wa ck hautajiuliza maswali Mepesi kiwango hiki
Sikukatazi kujibu hoja zao juu ya kila kitu KUHUSIANA na Qur'an KWA Qur'an ila ni vyema Ukawa makini sn kutumia Qur'an kujibu hoja za Qur'an. Majibu yako yatakuwa msaada mkubwa sn kwa walio tayari kujifunza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.