Recent content by Izia maji

  1. I

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Mifumo hii ya kifisadi ilikwisha jichimbia chini sana katika nchi hii kwa hiyo tunahitaji mabadiliko! Sasa mafisadi wakisikia mabadiliko wanaanza kuwatishia wananchi kuwa ni kuleta vita. Sasa kwa woga wa vita au kwa kushabikia mafisadi wananchi wanawaunga mkono mafisadi na nchi inaendelea...
  2. I

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Ni huo huo mkaa uliotengenezwa kama vitofali au vimpira kiwandani kwa kipikia!
  3. I

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Utafiti ulikwishafanyika na sasa wanatakiwa wawekezaji wa kutengeneza coal brikets wawauzie wananchi. Stamico wameanza kutengeneza lakini hakuna wasambazaji! Kwa hiyo unahimizwa kuanza biashara hii!
  4. I

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Siyo kweli kwa sababu radioactivity ya material haitegemei moto, ipo tu kiasili (naturally). Kwa hiyo hayo madhara yangewakumba zaidi wanaochimba na siyo wanaotumia!
  5. I

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Majibu: 1. Ndiyo yanafaa lakini ni vema yakasafishwa na maji kuondoa sulphur. Kinachotakiwa ni kuyaponda ponda yawe vipande vidogo, safisha na maji kuondoa sulphur, anika kukausha maji na kisha changanya na mkaa wa kawaida, washa moto na endelea kutumia. 2. Madhara ni yale yale ya kutumia mkaa...
  6. I

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Wee Mburula tumia akili, kwani kuna raia amezuiwa kujadili mambo ya kitaifa akitoa maoni yake binafsi na si ya taasisi anayoitumikia?
  7. I

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Alikuwa anaongea kama Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam na Jiji hilo lina mambo mengi na waandishi wa habari ni wengi!
  8. I

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Kadinali Rugambwa siyo Rais wa TEC wala Katibu Mkuu, yeye ni Askofu wa Jimbo la Tabora. Hivyo kama unataka kumsikiliza nenda Tabora!
Back
Top Bottom