Recent content by Ivan1

  1. I

    Msaada: Taratibu za kupokea mzigo kutoka UK kupitia Kenya ni zipi?

    Wamenitumia picha za kibox kinaanuani zangu wanasema nitume pesa wanisafirishie mzigo kutoka Kenya adi TZ, nikawaambia ninandugu apo Kenya basi akachukue pale airport, wanakataa. nilikuwa nishawatambua ila nawaenjoy nione mwisho wao
  2. I

    Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100

    Mkataba umefanyiwa marekebisho ndugu, umeambiwa wamesikiliza maoni ya watz na ndio maana unaona kunatofauti
  3. I

    Chuo Kikuu cha Mzumbe chakiri Wanafunzi zaidi ya 500 wanadai malipo ya 'refund' chuoni hapo

    Nasisi wa vyuo vingine tunazidi kusubirishwa tu izo refund
Back
Top Bottom