Ni makosa makubwa sana kumlinganisha Generali na Kibanda. Usije kuthubutu tena katika maisha yako yaliyobaki. Ni sawa sawa kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguu. Generali aliwafundisha kuwa thamani ya gazeti siyo jina lake, bali ni kilichomo ndani yake. Hebu sasa linganisha gazeti la Rai na...
Reli zetu haziwezi kustahimili speed ya juu. Zinatakiwa zijengwe upya katika ubora unaotakiwa. Vilevile mabehewa yanaotakiwa kwa speed ya juu siyo haya tulionayo, yanaspecial design kwa ajili hiyo.
Udhaifu siyo tusi ila ni tabia ya mtu. ndiyo maana alipoambiwa hivyo alikaa kimya bila kupinga kwa kuwa anajijua kuwa yeye ni Dhaifu. Na wewe mleta mada hiyo umeonyesha kuwa rais ni dhaifu kwa kumwelekeza raisi achukue hatua. Ni mara nyingi sana watu majukwaani na magezetini walisema kuna ombwe...
MAKINDA ni mnafiki sana. Mbona Nape na Kinana waliposema kuwa Mgimwa ni mzigo mbona alikaa kimya?? Na kama mungu angempa chaguo la mtu mwingine kufa angemchagua Nape?kinana?
Unamsemea bure Halima hujui hata kwenye vikao amechangia mawazo gani. Unamchokoza tu ili aseme. By the way kuwa neutral maana yake akili yako imelala haipo A wala haipo B na wala haipo C na haipo mahala popote. VACUUM
Labda niulize hivi hapa duniani hakuna wasaliti? Wasaliti wanarangi gani? utamjuaje mtu Fulani ni msaliti? Ni seme tu kwamba ZZK kwa muda mrefu sana amekuwa akituhumiwa kwa mambo mbalimbali, mengine alikiri. Kwa mfano mawasiliano yake na mkurugenzi wa usalama wa taifa (ccm). Ushaidi upo vilevile...
Nilifikiri hapa wanacomment great thinkers tu, Duuuh Watanzania bado tunasafari ndefu. Umeme kupanda unaathiri uchumi wa nchi ambao utashusha mapato ya serikali. Matibabu yanategemea mapato ya serikali.
Mimi ni mara yangu ya kwanza kuchangia hapa JF, ila huwa nasoma sana post za hapa JF. Na pia mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Nimesoma mara nyingi sana hapa JF kwamba Zitto asamehewe. Nijuavyo mimi popote duniani kosa la usaliti la aina ya Zitto halisemeheki. Nitatoa mfano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.