Recent content by itel Mobile Tanzania

  1. itel Mobile Tanzania

    Itel Yaanzisha maktaba Shule ya Msingi Ubungo NHC

    Mwishoni mwa juma lililopita tulitembelea shule ya Msingi Ubungo NHC kwaajili ya kuweka nguvu zaidi ya kuendeleza elimu, sote tunafahamu serikali inafanya jitihada kubwa sana kuendeleza miundombinu ya elimu ikiwemo kujenga madarasa kutokana na ongezeko la idadi kubwa ya watoto. Hivyo nasi...
  2. itel Mobile Tanzania

    Itel kuongeza idadi ya watumiaji wa smartphone Tanzania

    Huu sio tu mpango ni tayari ipo kwenye utekelezaji.
  3. itel Mobile Tanzania

    Itel kuongeza idadi ya watumiaji wa smartphone Tanzania

    Tayari imeshaanza kutekelezwa ukihitaji tujuze.
  4. itel Mobile Tanzania

    Itel kuongeza idadi ya watumiaji wa smartphone Tanzania

    Hivi karibuni serikali kupitia wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ilitoa takwimu za watumiaji wa simu janja/smarthpone na kusema ni 27% tu ya Watanzania wanaotumia smartphone. Pengine mtu anaweza kujiuliza kwanini kiwango hiki ni kidogo sana ukilinganisha na idadi ya watu waliopo...
  5. itel Mobile Tanzania

    Sababu za Diamond Platnumz kutumia itel A37 hizi hapa

    Bei ya itel A37 ni Sh. 150,000 tu.
  6. itel Mobile Tanzania

    Sababu za Diamond Platnumz kutumia itel A37 hizi hapa

    Takribani wiki mbili baada ya itel kumtangaza balozi wake ambaye ni Diamond platnumz, sasa imebainishwa sababu za Diamond platnumz kuipenda simu hiyo ambayo ni tolea jipya la itel A37 ambayo imezinduliwa rasmi mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa sababu zilizoelezwa na...
  7. itel Mobile Tanzania

    Itel yazindua Promosheni ya 'Nogesha Valentine na itel'

    KAMPUNI ya simu za mkononi ya itel imezindua kampeni ya promosheni ya ‘Nogesha Valentine na itel’ jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari hivi punde jijini Dar es Salaam meneja mahusiano wa itel Bw. Fernando Wolle amesema lengo la kampeni hiyo ni kuonesha upendo kwa wateja...
  8. itel Mobile Tanzania

    Itel yawakumbuka watoto yatima

    Kampuni ya simu za mkononi ya Itel imetembelea kituo cha watoto yatima cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza Mori jijini Dar es Salaam na kutoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo chalula na vifaa vya shule. Akizungumza mara baada ya kukabidhi msaada huo jana, Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Fernando...
  9. itel Mobile Tanzania

    Ifahamu Kampuni ya Simu za Mkononi ya 'itel Mobile'

    Pole Naki 12 kwa hilo tatizo, Upo mkoa gani tafadhali ili tukuelekeze ofisi zetu kwaajili ya kupatiwa utatuzi wa hilo.
  10. itel Mobile Tanzania

    Ifahamu Kampuni ya Simu za Mkononi ya 'itel Mobile'

    andoza, Asante andoza kwa ushauri wako mzuri.
  11. itel Mobile Tanzania

    Ifahamu Kampuni ya Simu za Mkononi ya 'itel Mobile'

    Hello sic narch, umewahi kutumia simu gani ya itel ikakuletea shida? Tafadhali tujulishe.
  12. itel Mobile Tanzania

    Ifahamu Kampuni ya Simu za Mkononi ya 'itel Mobile'

    Hello Scars, tafadhali tujuze simu gani inakuletea hitilafu ili tukusaidie kwani tuna huduma nyingi za kuwasaidia wateja wetu hasa wale wanaoweza kukumbana na changamoto ya mifumo ya simu, tuna warantii miezi 13, tuna huduma ya baada ya mauzo yaani after sales service, tuna huduma ya...
  13. itel Mobile Tanzania

    Ifahamu Kampuni ya Simu za Mkononi ya 'itel Mobile'

    Hongera kwa kuwa muuzaji wa simu zetu, Use brain Heriel, tafadhali upo mkoa gani? Pia tunaomba jina 'inbox' la huyo sales officer. Asante.
  14. itel Mobile Tanzania

    Ifahamu Kampuni ya Simu za Mkononi ya 'itel Mobile'

    Hello Planett, tafadhali tujuze ni simu gani ya itel unatumia na inakuletea shida? Tuna huduma mbalimbali ambazo zinaweza kusaidia kutatua changamoto yako kwani tuna vituo vya huduma baada ya mauzo yaani 'after sales service', pia tuna huduma ya kubadilishiwa simu bure, kama simu yako imeleta...
Back
Top Bottom