Mimi sijasoma KWA MKOPO wala sijawah omba MKOPO elimu ya juu#HESLB
Nakwatwa pesa na nimeorodheshwa katika ORODHA ya wanufaika,ajabu hawana hata detail zangu za elimu yangu!
Nilifika ofisi kwao walinijibu kuwa walichanganya majina, so niingie kwenye mfumo wao wanirefund pesa yangu wasitishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.