Naweza sema sijawahi vutiwa na michezo ya namna hii ila baada ya watu wengi kujisifu kuwa huwa wanashinda, ikanibidi nami nijaribu bahati yangu!
Cha kushangaza nimebashiri michezo karibia mi5 yoote sijaambulia chochote!
Nimejaribu kuchunguza matokea wanayotoa upande wa app yao na browser...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.