Kuandika kiingereza hakukutenganishi na ujinga uliokuanao,ilitosha kuonya kwamba vijana waache kuanika maishayao mitandaoni,ungeeleweka zaidi kuliko hichi ulichotuandikia
Hujakosea utakuta jitu zima linajivunia na akili za vidato navyuo lakini linashindwa kutumia akili yake ya kawaida linaleta stori za kusadikika mi huwa nakerwa sana na tabia hizi. Ukitaka nikudharau we niletee habari za kichawichawi,mara utasikia mtu kaanguka na ungo mara watu wamenasana...
Ombaomba wa barabarani sio wahitaji wengi wao ni wachangishafedha,unapotoa msaada usijali uchawi kwani mchawi anaweza kukudhuru hata bila kumpa msaada isitoshe unaposaidia jua umeguswa na shida za mtu hivyo ni roho ya ki Mungu iliyo ndani yako ndio inakusukuma kusaidia,mathalani mimi ni mtu wa...
Kizazichako
Hivyo ndivyo ulivyoumbwa kiufupi hiyo ndio tabia yako wala usijilaumu,utakapojizuia kumsaidia mtu wakati uwezo wa kumsaidia unao utajikuta unakosa amani.
We saidia pale unapoweza pasipo kujiumiza matunda yako yatakujaliwa na kizazichako cha baadae pasipowao kujua neema zinatokea...
Mkuu umeongea point tupu wafuasi wengi wa mungu wa masikini ni wale ambao hawatumii akili ya kawaida kama uliyotumia wewe wao walisombwa na upepo uliovuma wa kusifia. Huwezi kumpata mfuasiwake hata mmoja ambae amewahi kufikilia mambo nyeti kama haya.
Nakumbuka sikumoja alisimamishwa wapi...
Sidhani kama ataelewa hili,huyu nahisi kazaliwa mjini kakulia mjini hata mila na desturi hazijui ndio maana anashangaa,koo nyingi za kiafrika zilikua hivi kabla ya kuja kuvurugwa na wavamizi.
U
Usiangalie alipojenga babayako hapo alipohesabiwa hatua 17 ×17 hawezi kukugawia ardhi wakati hana nyingine zaidi ya hiyo tembea dogo uone familia zinamiliki hadi heka 100,mzazi kukupa heka 10 haoni hatari kuna ubaya gani ukijenga na kuanzisha familia hapo?
Huku mjini tunaishi ki selfish ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.