Recent content by ISLI

  1. I

    DIPLOMASIA YA KINAFIKI: Tuwasaidie na tuwapiganie Wakenya dhidi ya Wachina. Ni ndugu zetu wa damu na pia tumeoleana!

    Ni kweli serikali yetu inatakiwa kusimama na kenya pamoja hawa wachina hawa wakichukua bandari hiyo na sie tumeumia coz hatutaweza ku compete noa..bandari yetu ndio itaachwa solemba
  2. I

    Nimeshangazwa kumuona Mrema kwenye mkutano wa CCM Dodoma

    ahahahaha this is a madness game.. i will never understand it.
  3. I

    Barua ya Uingereza & Marekani ndio imewaibua Jaji mkuu, Ummy Mwalimu baada ya kuona kesi ya Lissu iko hadi UN

    Wawalete watuhumiwa waliousika na shambulio la Lissu mbele ya haki ndio tamko tunalotaka sahivi.
  4. I

    Mkutano wa leo wa CHADEMA kwa waandishi wa habari waacha maswali mengi

    Hata wewe ukiamua unaweza kumuombea kwa Mungu mtu yoyote na marehemu pia....Mungu habagui.
  5. I

    Zitto: Tumekabidhi nchi kwa washamba na malimbukeni

    Leo hiyo mhh...i dont understand this guy sometimes.
  6. I

    Siku 11 akiwa hospital Lissu aongea tena, endelea Kumchangia Matibabu kwa namba hizi..

    Mungu azidi kukulinda na kukupa afya njema ili uweze kurudi na kuendelea kulitumikia taifa lako.
  7. I

    Kamati ya bunge inayochunguza shambulio la Tundu Lissu kutoa ripoti kesho

    Ipeleke moja kwa moja kwa mkuu akakabidhiwe kama ile ya tanzanite na almasi.
  8. I

    Salim Hassan Turky: CHADEMA walilipia gharama za Ndege iliyomsafirisha Lissu

    Anasema wamelipia leo mbona zile documents za kukodi ndege zinaonyesha tarehe 8 na jina lililoandikwa ni Mh Mbowe,na siyo huyo mbunge?
  9. I

    NYARAKA: Wizara ya Madini iliidhinisha thamani ya Almasi ya Sh. Bilioni 14 kama thamani ya awali kusubiri mnada Ubelgiji

    Mhh series ndefu hadi kichwa kinauma, kuacha kuangalia siwenzi yaani moyo unauma na tanzania yangu.
  10. I

    Uongo wa CHADEMA waanza kuwatokea puani, Lisu alivaa shati la Blue na si Jeupe wakati wa tukio

    Ukiwaza vitu vyako vya low thinking capacity kaa navyo mwenyewe.
  11. I

    Hata kama siyo wao, watu wataamini ni wao tu!!

    Ila majambazi watakua wamenawa mikono yao maana kumpiga risasi mchana kweupe na kukimbia bila kitu sio characteristics zao.
  12. I

    Kutokana na mahusiano yasiyoridhisha kati ya Lissu na vyombo vya dola,CIA,FBI,MOSSAD,MI5 yahusishwe kuchunguza

    Ni kweli ..maana polisi itamlindaje mtu ambaye kila muda inamkamata na kumuweka ndani?
  13. I

    PENDEKEZO: Profesa Mruma avuliwe Uprofesa, akamatwe na kufungwa jela

    Am trying to think hivi kwa kitu kubwa kama government ya kwetu contract yoyote huwa inasomwa na mtu mmoja tu na kusainiwa na huyo mtu basi hakuna hata wanao go through the documents na kubaini mapungufu???au ni wizi tu?
  14. I

    Ripoti mbili za kamati teule za bunge leo zimetoa funzo moja kubwa kwa Watanzania, kwamba CCM haipaswi kuwa madarakani

    For sure umenena vema kutuongezea stress wananchi..haya mambo ili yaishe inabidi kupitia tena katiba yetu..people are free to do anything now.unless tuwe na katiba strong inayolinda wananchi zaidi ndio tutakaa sawa.
  15. I

    Kauli hii ya Rais huenda ni kutuandaa kisaikolijia kupokea taarifa za makinikia

    Dah, nahisi ndio ukweli ila ngumu kumeza jamani.
Back
Top Bottom